Ni tukio gani 'lilikutoa ushamba' na kisha kujicheka mwenyewe hata kama hakuna mtu aliona?

Ni tukio gani 'lilikutoa ushamba' na kisha kujicheka mwenyewe hata kama hakuna mtu aliona?

Ncha Kali

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2019
Posts
15,335
Reaction score
29,114
Waswahili walisema “mjinga wakati wa kwenda”

Basi bhana, kipindi hicho ndo naingia mjini kutokea uswekeni kwetu ndani ndani huko. Nikafikia kwa jamaa wa kijijini kwetu 'aliyetusua' kiaina ikiwa ni safari yangu kuelekea masomoni, alikuwa na getho fulani hivi kali mnaita 'self container' likisheheni vitu vingi 'mashikoro mageni' kwangu.

Picha linaanza asubuhi jamaa anaamka kwenda kwenye pilika zake, hivyo nabaki mwenyewe. Alijitahidi kunielekeza namna ya kutumia baadhi ya vitu ikiwemo kupika na 'kuwasha' na kuzima video.

Japo niliitikia maelekezo lakini sikuambulia chochote hivyo ilinipasa kushinda njaa kila siku, huku nikijibu nimeshiba na vyombo nimeosha.

Ukweli ni kwamba nilikuwa nashindia matunda tu kwenye friji na bites kadhaa ambazo alipenda kuja nazo jioni, labda na upolo wa ubwabwa ikitokea amepika usiku na kubakia.

Kosa kubwa alilofanya, katika maelekezo yake hakuelekeza matumizi ya choo cha ndani, kipo chumbani hivyo aliamini najua cha kufanya.

Ni hivi vyoo vyenu vya kukaa, mfuniko uko saaafii intact kabisa kila nikiingia sioni 'tundu' la kulenga li wapi

Pona pona yangu ni choo cha nje ambacho ni kichafu sana kwa maana ni kama hakina matumizi, nimekuja kustukia ni kama siku mbili tatu zimepita... nikajicheka sana japo nilijipongeza kwa vile 'jamaa' hakunigundua.

Tukio lingine, mgeni wangu sasa nami nishakuwa wa 'mujini'.

Nimechemsha chai nikajaza kwenye ‘chupa' tayari kwa matumizi, kumbe bwana kanicheki ninavyochuja chai huku akichukua 'shule'.

Ile tupo mezani sijui nimejisahau kitu gani, kutupa jicho namwona mgeni wangu anachuja tena chai yake wakati wa kumimina! [emoji3]

Nisiwachoshe, nitarudi na ile ya kufungua friji na na kuiacha wazi ili kufurahia ubaridi![emoji23]

Mjinga wakati wa kwenda.
 
Waswahili walisema “mjinga wakati wa kwenda”!

Basi bhana, kipindi hicho ndo naingia mjini kutokea uswekeni kwetu ndani ndani huko. Nikafikia kwa jamaa wa kijijini kwetu 'aliyetusua' kiaina ikiwa ni safari yangu kuelekea masomoni, alikuwa na getho fulani hivi kali mnaita 'self container' likisheheni vitu vingi 'mashikoro mageni' kwangu.

Picha linaanza asubuhi jamaa anaamka kwenda kwenye pilika zake, hivyo nabaki mwenyewe. Alijitahidi kunielekeza namna ya kutumia baadhi ya vitu ikiwemo kupika na 'kuwasha' na kuzima video.

Japo niliitikia maelekezo lakini sikuambulia chochote hivyo ilinipasa kushinda njaa kila siku, huku nikijibu nimeshiba na vyombo nimeosha.

Ukweli ni kwamba nilikuwa nashindia matunda tu kwenye friji na bites kadhaa ambazo alipenda kuja nazo jioni, labda na upolo wa ubwabwa ikitokea amepika usiku na kubakia.

Kosa kubwa alilofanya, katika maelekezo yake hakuelekeza matumizi ya choo cha ndani, kipo chumbani hivyo aliamini najua cha kufanya.

Ni hivi vyoo vyenu vya kukaa, mfuniko uko saaafii intact kabisa kila nikiingia sioni 'tundu' la kulenga li wapi!

Pona pona yangu ni choo cha nje ambacho ni kichafu sana kwa maana ni kama hakina matumizi, nimekuja kustukia ni kama siku mbili tatu zimepita... nikajicheka sana japo nilijipongeza kwa vile 'jamaa' hakunigundua.

Tukio lingine, mgeni wangu sasa nami nishakuwa wa 'mujini'.

Nimechemsha chai nikajaza kwenye ‘chupa' tayari kwa matumizi, kumbe bwana kanicheki ninavyochuja chai huku akichukua 'shule'.

Ile tupo mezani sijui nimejisahau kitu gani, kutupa jicho namwona namwona mgeni wangu anachuja tena chai yake wakati wa kumimina! [emoji3]

Nisiwachoshe, nitarudi na ile ya kufungua friji na na kuiacha wazi ili kufurahia ubaridi![emoji23]

Mjinga wakati wa kwenda.
Umenikumbusha siku ya kwanza kunywa soda Sprite.
 
Binafsi nashukuru Sina ushamba kihivyo huwa najitahidi kusoma mazingira siendi hovyo ushamba wangu labda kwenye hivi vyakula vya kisasa hivi.. siku nikienda hotel kubwakubwa najua tu lazima nitaharibu..😅

Nilishawahi haribu kwenye harusi wakati wa msosi sijui ndo chachandu ile sijui nini nilikuwa dogo tu hata siijui vizuri mi nikajua kachumbari tu ya kawaida alaaaa.. nilivyoionja dadeki nilikoma maana ile pilipili ilikuwa ya kiwango kisichopimika.. nilivyoona hivyo itaniaharibia radha ya chakula nikaamua nikomae nayo nikaila yenyewe tu ndo nile na pilau!.. ndugu msiombe pilipili ifanyiwe uchunguzi vizuri maana nilikuwa naskia mpk sauti masikioni ikilia nziiiiiiiiiii...🤣🤣🤣 Nilikoma Mimi japo nilishinda jaribu lkn Nilikoma.
 
Binafsi nashukuru Sina ushamba kihivyo huwa najitahidi kusoma mazingira siendi hovyo ushamba wangu labda kwenye hivi vyakula vya kisasa hivi.. siku nikienda hotel kubwakubwa najua tu lazima nitaharibu..[emoji28]

Nilishawahi haribu kwenye harusi wakati wa msosi sijui ndo chachandu ile sijui nini nilikuwa dogo tu hata siijui vizuri mi nikajua kachumbari tu ya kawaida alaaaa.. nilivyoionja dadeki nilikoma maana ile pilipili ilikuwa ya kiwango kisichopimika.. nilivyoona hivyo itaniaharibia radha ya chakula nikaamua nikomae nayo nikaila yenyewe tu ndo nile na pilau!.. ndugu msiombe pilipili ifanyiwe uchunguzi vizuri maana nilikuwa naskia mpk sauti masikioni ikilia nziiiiiiiiiii...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nilikoma Mimi japo nilishinda jaribu lkn Nilikoma.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jengo refu lifti hii hapa naonaga tu kwenye video, basi nikasema leo hapa hapa... kufungua sijui nikasubiri ifunguke wapi hadi akaja raia mwingine nikazama naye.

La haula! Kumbe anapanda floor tofauti na mimi, mimi sijui huyooo mpaka jamaa alipofika nami nikashuka... wenge mbaya hata sielewi kitu!

Nikaona ujinga, kwa bahati nzuri nikaziona ngazi nikashuka hadi chini kuchukua maelezo upya.

Mwenyeji piga sana simu mi najibu tu nipo napandisha na sifiki.

Dadadeeki!
 
hii sio mimi ni rafiki yangu,
tulikua machalii tu, tunapita hospitali ya temeke jengo la bima ni lagorofa lilikua bado jipya jipya mida saa moja moja usiku nikamwambia jamaa yangu twende tukapande lift
tumefika mzee nikabonya kitufye cha "G" ndio ground sijui, kidogo lift ikafunguka tukazama ndani nikabonya kitufye namba 3 hapo ndo ushamba wa jamaa ulianza
jamaa alianza kushika pembeni uku akiinama slow slow, mpaka akachuchumaa na mwisho kabisa alikaa kitakoo 😂😂😂 yani alikaa chini huku anaangalia juu...

kiukweli wote ilikuwa ni first time kupanda lift lakin jamaa alitisha na ushamba wake, mbeleni uko alikuja kuzoea ikawa kama ka mchezo ketu... tukipita temeke hosptal mida ya night tunaenda kupanda lift yao

afu mara nyingi mshamba akijanjaruka anaweza kukuzidi ujanja yani inakua "mjinga kawa mjanja, mjanja kawa na ujanja wakiuni"
 
Ilikuwa 2014 naripoti chuo under graduate 1st year Bondeni huko mamawee! Kipindi hicho Msambaa nimepelekwa Block fulani hivi ya hostel sasa tumezoea huku kwetu wizi wa vitu njenje kwahiyo ile mentality nilikuwa nayo kwamba hata hapa nikizubaa napigwa! Kumbe jamaa ni wastaarabu vibaya mno aisee hata uache mlango wa room wazi kila kitu unakikuta kama kilivyo.., Btw! Nilikuja kugundua kuwa Baadhi ya Tabia zetu WaTZ kama vile udokozi na wizi Wa vitu vidogo maeneo ya jumuiya kama mashuleni na vyuo ni ushamba Wa kipuuzi.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hata Bata tu kumbe alikuwa anakushinda!..
Ujanja wote huo kwisha..[emoji12]
Dah kwahiyo kumbe ulianza na wanyama[emoji87][emoji87][emoji87]hukosi hata mbuzi umeshawapitia.. KENZY huendi mbinguni...shetani anakusubiri...kwahiyo kumbe bata ni wakwe zetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dah kwahiyo kumbe ulianza na wanyama[emoji87][emoji87][emoji87]hukosi hata mbuzi umeshawapitia.. KENZY huendi mbinguni...shetani anakusubiri...kwahiyo kumbe bata ni wakwe zetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣 Embe ng'ong'o mkubwa wee Sina maana hiyo namaanisha hata bata wanajua kulenga hawalengi vitovuni.. hayo ya ushemeji unayajua wewe..😂
 
Siku ya kwanza kufanya ma2C nilichomeka kitovuni...halafu nikaambia SIO HAPO
hahahahaha
zombi%20kichaa%2020200909_182554.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Embe ng'ong'o mkubwa wee Sina maana hiyo namaanisha hata bata wanajua kulenga hawalengi vitovuni.. hayo ya ushemeji unayajua wewe..[emoji23]
Kwahiyo mabata yakifanyana wewe unainama unayachungulia kama jamaa atalenga[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ..hivi unajua matusi ya bata kama ya kuku tuu? Yana save mult purpose
Mapenzi
Uzazi
Haja ndogo
Haja kubwa
Na yana sumaku[emoji39]
 
Back
Top Bottom