Elections 2015 Ni Tundu Lissu pekee(Sababu moja sifa kumi)

Bado nadhani kiti cha raisi kikiwa na Dr lakini PM strong kama TL ndio itafaa ama Finance au Nishati kwenye mikataba mibovu huku tukitarajia gesi
Pia raisi sio lazima awe Mwenyekiti wa Chama
 
Unamaanisha E.Mtei au? Mbona sijasikia mtu akimtaja Mh. Mbowe?

Huu sio wakati wa kutengeneza makundi wanatakiwa wafanye kama CCM nasisitiza wakimsimamisha mgombea tofauti na tundu lisu basi uje CCM Hawatakua na haja ya kufanya kampeni
 

Lissu hapaswi kabisa kukosekana bungeni. Ni jasiri na hodari mno katika mambo ya sheria. Dr Slaa anaenea kabisa nafasi hiyo ya juu.
 
Huu sio wakati wa kutengeneza makundi wanatakiwa wafanye kama CCM nasisitiza wakimsimamisha mgombea tofauti na tundu lisu basi uje CCM Hawatakua na haja ya kufanya kampeni

Ni mtazamo wako tu.
 
Habari wakuu,

Ikitokea UKAWA wakamsimamisha Tundu Lissu kuwa mgombea wa Urais akambane na Magufuli una dhani kipi wana fanana?
 

tupo huku hakuna aliyerudisha kadi, n maneno tu'
 
tupo huku hakuna aliyerudisha kadi, n maneno tu'

Najua mengi yanaongelewa ila kimsingi ni kwamba wengi wao wameonekana kusupport magufuli hasa wale wa upinzani..mfano hapa ofsin kunajamaa yeye ni mwanachama wa chadema kabisa ila anamsifu sana magufuli..nilipo mtajia kuhusu tundu lisu akanywea ghafla
 
Kwa muonekano wangu.silaa tosha kabisaaaaa.tundu lisu abaki nafasi yake ya ubunge ndio analichemsha bunge.
 
chadema ndio mnavuruga ukawa kwa ubinafsi na uroho wenu ivi kwanini usiseme mbatia mtu mwenye busara na haiba ya uongozi, mtu ambaye hata ccm wanamuhofia
 
hata mungu alimleta kila nabii kwa wakati wake ndo maana akumleta yesu kipindi cha mussa au musa kipindi cha daudi kila nabii na wakati wake

hata vitabu vya mungu vilikuja kila kimoja kwa wakati wake zaburi, agano la kale, mpaka agano jipya.
ccm wametufanyia suprise tena kubwa coz hakuna mtu yeyote aliekuwa anafikilia abt magufuli wote tulijua lowassa, membe, jaji ramadhan, mwandosya, kwa wanawake kidogo Dr migilo bt ccm wametufanyia suprise tena kubwa kwa magufuli ameokota pochi la fedha kariakoo mtaa wa kongo

sasa ni zamu yetu ya kuwafanyia big suprise kwa mtu ambae awajamtalajia kwani naamini ccm wamejiandaa kupambana na Dr slaa .

tusiwe kama lowasa intelligence waodanganywa na tafiti za magazeti na taasisi mbalimbali kuwa lowassa anakubalika ndani na nje ya ccm

Dr slaa alikuwa kipindi cha mussa dhama za kina kikwete, Makamba mkubwa hizi ni za yesu dhama za kina magufuli, nape, kinana

tunatakiwa kutumia makombola ya s -300 dhidi ya kibomu cha mkono cha ccm Dr slaa is out of pictures for 5 years na ni so yesterday kwa magufuli aliekuwa main stream hapa tumwekee lissu tu
 
Pamoja na kwamba mi naipenda ccm lkn bado naona haijasimamisha mgombea stahiki. Kama hali ndo hiyo, mi naungana na wana UKAWA kumchagua SLAA. Mi nipo hapa chato jirani kabisa na kwa MAGUFULI ila hatunufaiki na raslimali za taifa letu kama yeye. Anajilimbikizia mali nyingi sana kwake. Huku geita hatumtaki na tumeazimia futompigia kura kamwe
 
ukawa wamsimamishe. je atapambana na mgufuli?
 
Maarifa, una shaka na kupambana na magufuli?
Mbona una roho nyepesi kiasi hiko?
 
Apewe tu.
Huyu mzee wao wanaempigia debe hayuko vema sana kama tunavyodhani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…