proxy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 1,479
- 1,348
Wakuu Habarini za mida hii,
Ni matumaini yangu kuwa muwazima na mnaendelea vizuri na mishe za hapa na pale.Sasa Nimeamua rasmi kumpa mwanangu Jina la MWAKUPATWA, ikiwa kama ishara ya kumuunga mkono yule raia aliyeishukuru Serikali kwa kupeleka tukio la kupatwa Kwa jua jijini Mbeya.
Kama yupo mtu anaungana na mimi basi comment hapa Chini ili twende Sawa.
Ni matumaini yangu kuwa muwazima na mnaendelea vizuri na mishe za hapa na pale.Sasa Nimeamua rasmi kumpa mwanangu Jina la MWAKUPATWA, ikiwa kama ishara ya kumuunga mkono yule raia aliyeishukuru Serikali kwa kupeleka tukio la kupatwa Kwa jua jijini Mbeya.
Kama yupo mtu anaungana na mimi basi comment hapa Chini ili twende Sawa.