NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
"Mfa maji aishi kutapatapa" hayo ni maneno machache yenye maana kubwa sana.
Nimewatazama vizuri sana marumo Fc, kwa kweli Wana mpira wakawaida tu Tena mpira unaochezwa na Yanga ni Bora zaidi kuliko wao Marumo.
Marumo Wanapambwa na wachambuzi wasiojua mpira na kufanya waonekane wao ni Bora sana kuliko Yanga.
Gemu ya Marumo waliyocheza na Mamelod walipoteza kwa Goli mbili kwa sifuri, Tena mamelod hawakuchezesha wachezaji wao waandamizi ndani ya timu na huo ndio umekua mchezo wa mamelod kupumnzisha wachezaji.
Marumo fc, wameshashuka daraja kilichobaki ni kukamilisha ratiba tu katika ligi yao huko ya south Africa.
Laiti Kama marumo wangewafunga mamelod ingekuwa ni habari kubwa sana, na hiyo ingetumika na kila mchambuzi wa Tanzania kuwatisha yanga.
Yanga Ina nafasi kubwa sana ya kushinda na kufika fainali kutokana na kikosi kilichopo chenye ubora.
Wachambuzi wasiojua mpira (hawana statistics) sijui huwa wanapata wapi nguvu ya kusifia timu utasema ni Barcelona au Real Madrid.
Endeleeni kusifia timu na kuacha kutazama au kuukubali ubora wa Yanga kwa kuwa tu, timu yenu pendwa imepigwa na imetolewa kwenye michuano ya kimataifa.
YANGA IS UNSTOPPABLE NA ITACHUKUA KOMBE LA CAF CONFIDERATION
Nimewatazama vizuri sana marumo Fc, kwa kweli Wana mpira wakawaida tu Tena mpira unaochezwa na Yanga ni Bora zaidi kuliko wao Marumo.
Marumo Wanapambwa na wachambuzi wasiojua mpira na kufanya waonekane wao ni Bora sana kuliko Yanga.
Gemu ya Marumo waliyocheza na Mamelod walipoteza kwa Goli mbili kwa sifuri, Tena mamelod hawakuchezesha wachezaji wao waandamizi ndani ya timu na huo ndio umekua mchezo wa mamelod kupumnzisha wachezaji.
Marumo fc, wameshashuka daraja kilichobaki ni kukamilisha ratiba tu katika ligi yao huko ya south Africa.
Laiti Kama marumo wangewafunga mamelod ingekuwa ni habari kubwa sana, na hiyo ingetumika na kila mchambuzi wa Tanzania kuwatisha yanga.
Yanga Ina nafasi kubwa sana ya kushinda na kufika fainali kutokana na kikosi kilichopo chenye ubora.
Wachambuzi wasiojua mpira (hawana statistics) sijui huwa wanapata wapi nguvu ya kusifia timu utasema ni Barcelona au Real Madrid.
Endeleeni kusifia timu na kuacha kutazama au kuukubali ubora wa Yanga kwa kuwa tu, timu yenu pendwa imepigwa na imetolewa kwenye michuano ya kimataifa.
YANGA IS UNSTOPPABLE NA ITACHUKUA KOMBE LA CAF CONFIDERATION