Lovie Lady
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,826
- 4,652
☹️☹️☹️👋Mtoto mzuri [emoji8]
Njoo uone yanga inavyochukua ushindi mnono.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
AMINI KWAMBA MWANANCHIIII
Kombe la looser ndiyo kombe gani mzee??Labda haisifiwi ili kuitisha Yanga, huenda inasifiwa ili Yanga ikiifunga ionekane imeifunga timu ngumu kufuta idea ya baadhi ya watu ya kombe la looser.
Dk tisini ndiyo itaaamuaWale mashabiki wa marumo gallants tunyooshe mikono juu.
Linazungumzwa zungumzwa sana humu, mwenyewe sijawahi lifuatilia.Kombe la looser ndiyo kombe gani mzee??
Nyinyi mnaalo kwenye kabati lenu.???
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Endeleeni kupiga kelele na kulizungumnzia sasaLinazungumzwa zungumzwa sana humu, mwenyewe sijawahi lifuatilia.
Imekuwaje umebadilisha jina tena 🤣MARUMO gallants
Timu pendwa Tanzania
Sawa nawaongezea nanyie Ihefu..
Huyo atabadili mpaka sehemu za siriImekuwaje umebadilisha jina tena [emoji1787]
1. Kocha wa Vipers alisema hajaona mchezaji wa Simba mwenye kipaji ambacho kitakua na madhara kwao, akala vya nguruwe nyumbani na ugeniniHakuna kocha anayesema kuwa wapinzani wake ni wepesi huyo ni mbumbumbu tu lakini kocha mwenye profession yake hawezi kusema wapinzani wake ni dhaifu zunguka duniani kote.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Haina kupinga.FT: Yanga 3 - 0 Malumo Makolo Gallants
Leo wataangalia mpira huku wamejifichaMwenye macho ameshasoma na ameelewa Mkuu. [emoji1787].
Mbona husemi kocha wa marumo anaizungumziaje Yanga.1. Kocha wa Vipers alisema hajaona mchezaji wa Simba mwenye kipaji ambacho kitakua na madhara kwao, akala vya nguruwe nyumbani na ugenini
2. Kocha wa Horoya alisema Simba ni timu yenye rekodi mtandaoni tu, akala wiki 7-0
2. Kocha wa Wydad alisema ameijua Simba juzi tu ilipocheza na Raja, akala cha nguruwe, akaenda kuponea kwenye matuta