Ni udadisi tu!!!!

Ni udadisi tu!!!!

Mkeshahoi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2009
Posts
2,469
Reaction score
284
Hii niliisikia toka kwa mdada flan mwenye ndoa yake... Kwamaba yey akikwaruzana na mumewe na tatizo kwa wazee kwa utatuzi... Anaambiwa awe mtulivu..wamaume wengi huanza kuiona thamani halisi ya ndoa wakiwa na miaka 35 na kuendelea..kabla ya hapo wengi wanaoa ila akili zao bado zinatamani yale walioyaachacha nje na huku bado ndoa wanaitaka vilevile.. Wakishafikia umri tajwa..wanatulia...!!
Sijafika huko bado...udadisi wangu katika kampani za jamaa zangu( walio juu na walio chini ya miaka 35 waliopo katika ndoa) naona dalili fulani ya ukweli..!!

Wakulu...Imekaaje hii??
 
mhh kwani we una miaka mingapi?
ebu oa tuone practical research iz always da best for optimum result!!!!
 
ndio maana nimesema ...ni udadisi tu... wenye uelewa wao wanijuze!!!!
 
Mimi nasubiri hadi nifikie above 35 ndio nioe! Huu ni ushauri niliopewa na mzazi naye alinipa sababu kama ulizotoa kuwa baada ya huo umri mtu anatulia katika ndoa.
 
Mmmmmmmm 35 kaka; kwa life xpectancy ya kibongo ni risk sana unaweza kuacha wanao wakiwa bado makinda! Suala la kutulia ama kutotulia jamani halina uhusiano wowote na umri na hasa kwa nyakati hizi tulizo nazo! Hizi nyakati za mafataki na mashuga mami!
 
Mmmmmmmm 35 kaka; kwa life xpectancy ya kibongo ni risk sana unaweza kuacha wanao wakiwa bado makinda! Suala la kutulia ama kutotulia jamani halina uhusiano wowote na umri na hasa kwa nyakati hizi tulizo nazo! Hizi nyakati za mafataki na mashuga mami!

Only God determines your life expectancy... I all wanted to to know is how true/false the notion is...!!.. is about mental maturity, sexual drive ddynamics or..!!!Just curiousity!!:smile:
 
Ina maana humu ndani hakuna aliyefikisha miaka 35 ambaye yuko kwenye ndoa?? Hebu mshaurini mwenzenu... au niwataje kwa majina mtoe experiensi zenu hapa...
 
Hizo ni story za vijiweni Askofu hatujafikia hiyo Age bwana ila tuko kwenye ndoa:doh:
 
age siyo deal sana....ila kuwahi safi hata ile kitu inakuwa na nguvu mbaya
 
SUala hili halina uhusiano na umri wa mtu. Kuna vidume vyenye miaka zaidi ya 35 lakini havijatulia kabisa. Likewise, kuna walio below 35 lakini wako safi na ndoa zao na mimi ni miongoni mwao. Suala la tabia ya mtu haliendani kabisa na umri. Ndo maana ni muhimu ku-develop good habits tangu ukiwa kijana maana ukiwa na tabia mbaya (mfano ya kutoka nje ya ndoa) hata ukikua utaendelea nayo tu.

I am talking this from experience. Mi kabla ya kuoa sikuwa na tabia ya kufukuzia vibinti. Nilisubiri muda mwafaka. Na hata nilipompata mchumba sikuwahi kufanya nae tendo la ndoa mpaka tulipofunga ndoa kanisani. Tulikaa kwenye uchumba kwa miaka 2 na nilifanya tendo la ndoa nikiwa honeymoon baada ya kupata baraka za kanisani. Vijana wenzangu waliokuwa wanafukuzia vibinti (na waliniona mimi kama zoba vile) nao wameoa lakini wengi wao mpaka leo bado wanafukuzia totoz nje ya ndoa.
 
Hizo ni story za vijiweni Askofu hatujafikia hiyo Age bwana ila tuko kwenye ndoa:doh:

:A S angry::A S angry:... kwa hiyo anawadharau kwamba akili zenu hazijatulia kwenye ndoa....:A S angry::A S angry:
 
Ina maana humu ndani hakuna aliyefikisha miaka 35 ambaye yuko kwenye ndoa?? Hebu mshaurini mwenzenu... au niwataje kwa majina mtoe experiensi zenu hapa...


mi niko kati ya 45-50 na bado infideliry is there to stay sasa sijui inakuwaje hapo baba Askofu?:smile-big:
 
Thamani ya ndoa ni wakati wote; ukiipa mipaka ya muda na umri wewe umeingia kwenye ndoa si kwa maana ya kuwa kwenye ndoa !
 
Back
Top Bottom