Ni uelewa mdogo wa wazazi au.....????


Nikisema simpend simaanish kwamba ni m'baya hapana, ila sina hisia za mapenz juu yake, nilikuwa namchukulia kama rafiki angu tu wakawaida nothing else...
 
Binti akija mweleze kuwa wazazi wanahisi unamkamua. Kama vipi rekebisha mazingira kamua mzgo ili usiwape wazazi wake dhambi ya kukusingizia.
 
Binti akija mweleze kuwa wazazi wanahisi unamkamua. Kama vipi rekebisha mazingira kamua mzgo ili usiwape wazazi wake dhambi ya kukusingizia.

Mmh kufanya hvo nafsi yangu itanisuta coz ninie mpnz na nampenda sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…