Kama unampenda huyo binti fanya mpango wa kufomalize uhusiano wenu haraka. Kama huna na wala humtaki, haraka mwekeewewe kizingiti hata kabla ya wazazi (mama) wake. Vyenginevyo utashtukia unatwangwa ya mkeka au kubambikiziwa kichanga kisichokuwa chako. Take care!