DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 2,011
- 4,705
Habar wakuu
Nimekuwa na shida kubwa sana ya kuwachukia wasichana wadodo wadogo under 30.. yaani hata sitamani kuwa nao kwenye mahusiano.
Najikuta tu nampenda majimama na masingle mother je hii itakuwa ni Ugonjwa au kujiendekeza tu?.
Nahitaji msaada na ushauri wenu mm Niko na 30yrs
Nimekuwa na shida kubwa sana ya kuwachukia wasichana wadodo wadogo under 30.. yaani hata sitamani kuwa nao kwenye mahusiano.
Najikuta tu nampenda majimama na masingle mother je hii itakuwa ni Ugonjwa au kujiendekeza tu?.
Nahitaji msaada na ushauri wenu mm Niko na 30yrs