Ni ugonjwa gani na nini dawa yake

nyikila

Member
Joined
Jan 23, 2017
Posts
22
Reaction score
16
Habari wanadau naomba ushauri. Nina mtoto wa ndugu yangu ana miaka 3 ni wa kiume. Alikuwa anatembea na kukimbia vizuri ghafla ameacha kutembea akitembea hatua moja ana dondoka na hawezi kaa Muda mrefu. Yuko kama amelegea. Tumempeleka hospital vipimo hawaoni ugonjwa wala xray hazioneshi alipoumia. Naomba ushauri tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…