Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 656
Acha uongo... none like ndoa mzee moja ya taasisi kongwe na bora zaidi duniani. Sifa na utukufu kwake aliyeanzisha taasisi ya ndoa! Glory be to God.
Cc: Joanah, Sky Eclat, Jemima Mrembo
yani yakikugusa tu mwilini haijalishi ulivaa ndom au wapi lazima dude likuvae.....hasa pale unapovua ndom ndo kabisaKaswende haizuliki kwa condom watu hawajui yale maji kidogo tu kwisha
Shuhudia huo uongo.Acha uongo
Kajifunze matumiz ya ndom..yani yakikugusa tu mwilini haijalishi ulivaa ndom au wapi lazima dude likuvae.....hasa pale unapovua ndom ndo kabisa
ulishaona ee watu wanaamini ndom 100% lakini sio wengi wameumia sanayani yakikugusa tu mwilini haijalishi ulivaa ndom au wapi lazima dude likuvae.....hasa pale unapovua ndom ndo kabisa
Ishu sio kujifunza we ombea usipite kwa mtu mwenye hilo dude.....sema huku bongo hawapo sana....ila nairobi daaah ule mji ni kama wadada wote wana hilo gonjwa....nashukuru tu nilimaliza chuo nikarudi huku......papa za bongo labda ma uti tu ambayo ndom inaweza zuia ukitumia vizuri na ukienda kavu ubabuke na ngoma ila kaswende bongo haipo sana ndo maana wengi hawawezi elewa hilo ila siku ukikutana na demu mwenye hilo dude ndom haisaidii kitu yale majimaji ya mwanamke yakikugusa tu mwilini jamaa hao wanapitaKajifunze matumiz ya ndom..