Ni uhakika; Menya punje tatu za mpunga ambao haujakauka na kuvunwa, tafuna. Utapata nafuu ya misuli na utajisikia vizuri

Ni uhakika; Menya punje tatu za mpunga ambao haujakauka na kuvunwa, tafuna. Utapata nafuu ya misuli na utajisikia vizuri

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
448
Reaction score
409
Mpunga ambao upo shambani chuma shina moja, kisha chukua punje tatu tu za chuya ya mpunga, menya maganda kisha tafuna, muda huo huo utajisikilizia hali kubadilika na kujisikia hali ya utulivu ambayo unaweza kuangalia mechi ya mpira bila kuchoka

Utafiti huu ni wangu ukitaka kuzalisha na kufungua kiwanda lazima uombe hati miliki yangu.NIMR nawakaribisha mfanye utafiti,hauchukui hata dakika kupata malighafi. Asante.

NB: Ukipata nafuu wa kumshukuru ni Mungu mwenye mimea,Mimi naomba NIMR waniingize ktk tafiti zao,ugunduzi huu nimetumia miaka.
 
Mkuu kuchuma shina moja la mpunga kwa ajili ya punje 3 za mpunga! Nikizitoa punje tupu bila shina si itafanya kazi?
 
Mkuu kuchuma shina moja la mpunga kwa ajili ya punje 3 za mpunga! Nikizitoa punje tupu bila shina si itafanya kazi?
Asante,nimesema hivyo kwakuwa waweza kuta punje zingine hazina Michele ndani yake,hivyo unakuwa na akiba
 
Back
Top Bottom