Ni uharibifu wa rasilimali fedha.

Ni uharibifu wa rasilimali fedha.

ndayilagije

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2016
Posts
7,491
Reaction score
8,304
Wasalaam wapendwa.
Kununua nguo kila mwezi,
Kuchangia kila harusi wakati una watoto wawili tu
Kununua gari badala ya kiwanja
Kunywesha watu bia kwenye baa
Kupanda tax wakati huna mizigo wala huna haraka,badala ya daladala.
Kununua mapambo ya gharama kwa ajili ya shughuli isiyo kuhusu.
Kupika chakula kingi kuliko unvyoweza kula.
Kujifanya unajua sana kuhonga wakati mama yako analala njaa kijijini.
Huo ni uharibifu wa fedha,tumia fedha kwa uangalifu huwezi kumiliki kila kitu kizuri duniani.
NB:toa sadaka kidogo kanisani/msikitini,kubwa kwa muhitaji na Mungu wako atalibariki kapu lako mpaka ushangae.
 
Siku hizi tabia ya kupangiana matumizi imeshika hatamu
Nani sasa akupangie?tumia vizuri/vibaya na zikiisha ujibebe usianze kutusumbua eti dah niliwanywesha sana pombe asa ivi wananichunia.
 
Back
Top Bottom