Ni uhuru upi wa kujieleza wanaoutaka CHADEMA?

Status
Not open for further replies.
Jikite kwenye hoja kamanda acha kuweweseka
Mimi si CHADEMA. Si lazima uwe CHADEMA kuhoji kuhusu uhuru.

Hata mimi nilihoji.

Tuanze na swali hili.

Magufuli alivyopiga marufuku mikutano ya kisiasa alitumia kifungu gani cha sheria?
 

mpaka leo sjaelewa huo uhuru wanaoutaka maaana jamii forum apa kila mtu yuko huru kuelezea maoni yake lakini mpaka leo sjaona cha maaana walichoongea zaidi ya kusubiria matukio ili waanzishe uzi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…