Ni ujauzito au ana tatizo?

BRO LEE

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2011
Posts
830
Reaction score
603
Kuna dada mmoja nafanya naye kazi ni mjamzito, amekuwa msahaulifu sana. Mnaweza kuongea jambo leo kesho itakubidi uanze upya kumkumbusha hali hiyo inanikwaza sana. Wakati mwingine hata simu yake anaweza kusahau kaweka wapi kwa muda mfupi tu, cha ajabu huweza hata kusahau fedha mfano km umemwazima au kamtuma mtu kitu asipokumbuka kumrudishia chenchi basi ataanza kutafuta alikoweka hela.

Naomba kuelimishwa, je hili tatizo linasababishwa na nini?......:confused2:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…