johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kinachoendelea Chadema Kwa sasa Siyo demokrasia bali ni ushamba na upuuzi mtupu
Viongozi wanatukanana kana kwamba hawana familia makwao
Mwenyekiti wa Chadema anachaguliwa na wajumbe 1200 tena Kwa utashi wao na si Kwa kutumwa na Wanachama
CCM Mungu wa Mbinguni awabariki Sana kwani utaratibu wao umenyooka na hauna mwanya wa kutoa Rushwa
Sisi CCM tunapomchagua Rais wa JMT automatically tunakuwa tumemchagua Mwenyekiti wa Chama Chetu ambaye baadae akishaapishwa basi mkutano mkuu wa CCM unaitishwa Ili kumthibitisha
Kwahiyo Mbowe angekuwa CCM isingewezekana kamwe kuwa Mwenyekiti kwa sababu hautaki uRais wa JMT
Uchaguzi wa Chadema ni mdogo Sana unakuzwa tu na media, jaribu kufikiria Wajumbe Wenyewe 1200 tu wanazidiwa mbali na Wajumbe wanaochagua Viongozi wa Daruso, Yanga, IFMSO, Simba nk
Wajumbe 1200 wanaingia mfukoni mwa tajiri mmoja tu na Mwamba anashinda saa 4 asubuhi 😂
CCM ndio Kiboko Ili uwe mwenyekiti wao lazima ukubalike na Dola kwenye vetting Zao kama mkuu wa nchi
Happy New Year 🌹
Viongozi wanatukanana kana kwamba hawana familia makwao
Mwenyekiti wa Chadema anachaguliwa na wajumbe 1200 tena Kwa utashi wao na si Kwa kutumwa na Wanachama
CCM Mungu wa Mbinguni awabariki Sana kwani utaratibu wao umenyooka na hauna mwanya wa kutoa Rushwa
Sisi CCM tunapomchagua Rais wa JMT automatically tunakuwa tumemchagua Mwenyekiti wa Chama Chetu ambaye baadae akishaapishwa basi mkutano mkuu wa CCM unaitishwa Ili kumthibitisha
Kwahiyo Mbowe angekuwa CCM isingewezekana kamwe kuwa Mwenyekiti kwa sababu hautaki uRais wa JMT
Uchaguzi wa Chadema ni mdogo Sana unakuzwa tu na media, jaribu kufikiria Wajumbe Wenyewe 1200 tu wanazidiwa mbali na Wajumbe wanaochagua Viongozi wa Daruso, Yanga, IFMSO, Simba nk
Wajumbe 1200 wanaingia mfukoni mwa tajiri mmoja tu na Mwamba anashinda saa 4 asubuhi 😂
CCM ndio Kiboko Ili uwe mwenyekiti wao lazima ukubalike na Dola kwenye vetting Zao kama mkuu wa nchi
Happy New Year 🌹