The_Emperor
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 871
- 125
Pole kiongozi kwani wakijisifia wewe si uwaache tu ni nini kinakuharibia siku yako, hata wakijisifia walisoma mbinguni so what si uwaache. Kuliko kupandisha mori kiasi hiki lol
Kati ya hao waliojisifia, na wewe, nani mpumbavu kumshinda mwenzake? Mwenye akili akivuliwa nguo na mwendawazimu huchutama ila mpumbavu hufukuzana naye. Sasa kilichokukera wewe kiasi cha kuamua kuanzisha taarabu hapa ni kitu gani? Kama siyo inferiority complex tu ulizonazo kutokana na kusoma chuo cha kata?
Kati ya hao waliojisifia, na wewe, nani mpumbavu kumshinda mwenzake? Mwenye akili akivuliwa nguo na mwendawazimu huchutama ila mpumbavu hufukuzana naye. Sasa kilichokukera wewe kiasi cha kuamua kuanzisha taarabu hapa ni kitu gani? Kama siyo inferiority complex tu ulizonazo kutokana na kusoma chuo cha kata?
Pole sana kwa kumaliza vidato bila kuelimika!Nitajie hizo kata za hivyo vyuo!
Ni kwa kipindi sasa naona mijadala ya vyuo imekuwa ikishamiri humu jukwaani.Baadhi ya watu wamekuwa wakichangia upumbavu tu ingawa wanajiita wasomi,mara wanajisifiasifia wanapopatia elimu zao na kukejeli vyuo vingine.
Nakwambia hivi,dunia hii haina kanuni,na usijaribu kuipa kanuni,Mungu pekee ndiye anayeijua!
Kwa nini ujisifie chuo wakati kichwani kwako kumejaa ulimbukeni?Kwa nini ujisifie chuo wakati huwezi hata kucompete kwenye Soko la Afrika Mashariki?Acheni ushamba,mnaingia vyuoni hata perfect tenses hamjui halafu mnabishana humu ndani!
Ni kwa kipindi sasa naona mijadala ya vyuo imekuwa ikishamiri humu jukwaani.Baadhi ya watu wamekuwa wakichangia upumbavu tu ingawa wanajiita wasomi,mara wanajisifiasifia wanapopatia elimu zao na kukejeli vyuo vingine.
Nakwambia hivi,dunia hii haina kanuni,na usijaribu kuipa kanuni,Mungu pekee ndiye anayeijua!
Kwa nini ujisifie chuo wakati kichwani kwako kumejaa ulimbukeni?Kwa nini ujisifie chuo wakati huwezi hata kucompete kwenye Soko la Afrika Mashariki?Acheni ushamba,mnaingia vyuoni hata perfect tenses hamjui halafu mnabishana humu ndani!
Cc wa muslim aka! Hatuna tatizo na mtu.
Pole kiongozi kwani wakijisifia wewe si uwaache tu ni nini kinakuharibia siku yako, hata wakijisifia walisoma mbinguni so what si uwaache. Kuliko kupandisha mori kiasi hiki lol
Unabipu kitegua bomu eeh?
Unabipu kitegua bomu eeh?
Mtoto wa UDOM ana hasira sana huyu!, kachungulie kwenye zile 100 bora kama ipo!, soma dogo acha kupoteza muda na watu hapa, wengi tunalipa kodi hapa hatuishi kwa boom! Shauri yako.