Ni ujuzi gani ambao waombaji wa kazi wengi huo hawana; inaweza kuwa hard au soft skill. Tusaidiane kujifunza

Ni ujuzi gani ambao waombaji wa kazi wengi huo hawana; inaweza kuwa hard au soft skill. Tusaidiane kujifunza

Rog chimera

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2018
Posts
398
Reaction score
706
Habari wanajukwaa,

watu mnaoshiriki interview za kazi kama muombaji, HR au kama mratibu wa interview na kadhalika tunaomba mtusaidie tujifunze na kujiandaa vizuri. Ni ujuzi/skill gani ambayo umegundua watu wanakosa wanapoenda kwenye written au oral, au practical interview za kazi mbali mbali?

Binafsi nna mtu wangu wa karibu ni Muhasibu kwenye kampuni flani, yeye amesema katika interview za uhasibu waombaji wengi hawana ujuzi wa kutumia accounting software mfano sage, quickbooks, excel na nyinginezo.

Mwingine ni mwalimu katika shue ya private yeye anasema waombaji wengi hawajui kuongea lugha ya Kingereza kwa ufasaha. Mwingine katika IT aliwahi niambia kwamba graduates wengi wa IT wanajua theory tu lakini ukiwapa practical mfano programming skills wengi hawawezi kabisa. je wewe umegundua mapungufu gani kwenye sahili ulizohudhuria.
 
Kuijua kampuni, entity unayoomba kazi vizuri. Wengi wetu tunatuma maombi just like others, tunakazana kudraft barua vizuri, sijui cv mpaka tunalipa watu kutudraftia, lakini kuna watu wanafanya extra zaidi. Unakuta mtu anaenda ana-analyze kampuni anayoenda kutuma maombi, anasoma weaknesses zote za kampuni through their social platforms zote. Then ndo anawawekea mkeka kwamba I can do this and this ambayo hamko nayo. Akiitwa anasema atakayoyafanya pale kwenye ofisi yao maana ndipo wanapolack. Wengine wanaenda mbali na kuwa na portfolio inayoonyesha kazi zao, ama hata fake portfolio inayoonyesha uwezo wao hasa watu wa digital marketing na all about handling mediaz za kampuni ama biashara. So ninachoona ni kuwa na ufahamu mpana wa kazi unazotaka na kujiandaa intentionally kuipata hiyo kazi.
 
Habari wanajukwaa,

watu mnaoshiriki interview za kazi kama muombaji, HR au kama mratibu wa interview na kadhalika tunaomba mtusaidie tujifunze na kujiandaa vizuri. Ni ujuzi/skill gani ambayo umegundua watu wanakosa wanapoenda kwenye written au oral, au practical interview za kazi mbali mbali?

Binafsi nna mtu wangu wa karibu ni Muhasibu kwenye kampuni flani, yeye amesema katika interview za uhasibu waombaji wengi hawana ujuzi wa kutumia accounting software mfano sage, quickbooks, excel na nyinginezo.

Mwingine ni mwalimu katika shue ya private yeye anasema waombaji wengi hawajui kuongea lugha ya Kingereza kwa ufasaha. Mwingine katika IT aliwahi niambia kwamba graduates wengi wa IT wanajua theory tu lakini ukiwapa practical mfano programming skills wengi hawawezi kabisa. je wewe umegundua mapungufu gani kwenye sahili ulizohudhuria.
Kuandika barua ya maombi kazi.
 
Habari wanajukwaa,

watu mnaoshiriki interview za kazi kama muombaji, HR au kama mratibu wa interview na kadhalika tunaomba mtusaidie tujifunze na kujiandaa vizuri. Ni ujuzi/skill gani ambayo umegundua watu wanakosa wanapoenda kwenye written au oral, au practical interview za kazi mbali mbali?

Binafsi nna mtu wangu wa karibu ni Muhasibu kwenye kampuni flani, yeye amesema katika interview za uhasibu waombaji wengi hawana ujuzi wa kutumia accounting software mfano sage, quickbooks, excel na nyinginezo.

Mwingine ni mwalimu katika shue ya private yeye anasema waombaji wengi hawajui kuongea lugha ya Kingereza kwa ufasaha. Mwingine katika IT aliwahi niambia kwamba graduates wengi wa IT wanajua theory tu lakini ukiwapa practical mfano programming skills wengi hawawezi kabisa. je wewe umegundua mapungufu gani kwenye sahili ulizohudhuria.
Mkuu usiendee Mbalii sanaa
Kwenye mambo ya soft skills and Hard skills

Kwenye CV tuu ni mtihanii namna inavyoandaliwa mkuuu mfano
.Mwaka jana mwanzoni nimepta cv ya watu wachache

Utakimbia unakumbuka zile CV Tulizofundishwa form two ndio hizo
And nafasi wanazoomba ni Level ya managers
 
Mkuu usiendee Mbalii sanaa
Kwenye mambo ya soft skills and Hard skills

Kwenye CV tuu ni mtihanii namna inavyoandaliwa mkuuu mfano
.Mwaka jana mwanzoni nimepta cv ya watu wachache

Utakimbia unakumbuka zile CV Tulizofundishwa form two ndio hizo
And nafasi wanazoomba ni Level ya managers
Duh aisee,
 
Mkuu usiendee Mbalii sanaa
Kwenye mambo ya soft skills and Hard skills

Kwenye CV tuu ni mtihanii namna inavyoandaliwa mkuuu mfano
.Mwaka jana mwanzoni nimepta cv ya watu wachache

Utakimbia unakumbuka zile CV Tulizofundishwa form two ndio hizo
And nafasi wanazoomba ni Level ya managers
Duh aisee,
Kuijua kampuni, entity unayoomba kazi vizuri. Wengi wetu tunatuma maombi just like others, tunakazana kudraft barua vizuri, sijui cv mpaka tunalipa watu kutudraftia, lakini kuna watu wanafanya extra zaidi. Unakuta mtu anaenda ana-analyze kampuni anayoenda kutuma maombi, anasoma weaknesses zote za kampuni through their social platforms zote. Then ndo anawawekea mkeka kwamba I can do this and this ambayo hamko nayo. Akiitwa anasema atakayoyafanya pale kwenye ofisi yao maana ndipo wanapolack. Wengine wanaenda mbali na kuwa na portfolio inayoonyesha kazi zao, ama hata fake portfolio inayoonyesha uwezo wao hasa watu wa digital marketing na all about handling mediaz za kampuni ama biashara. So ninachoona ni kuwa na ufahamu mpana wa kazi unazotaka na kujiandaa intentionally kuipata hiyo kazi.
Hii ni muhimu sana ,kuna kampuni ya bima inaitwa britam huwa wanauliza sana kama unajua huduma zao
 
IT certification ndio ina wigo mkubwa sana ,waambie vijana wenu wakishamaliza chuo wasomee certification kama wanavyosoma madaktari lasivyo utabaki na mivyeti vyako vya chuo unaomba kazi pasipo kupata sehemu yeyote pengine uko serikalini lakini kwenye mabenki na mataasisi mengine yanamtaka mtu mwenye certification,kama ya database,datacenter,security& network na masuala ya digital ambayo kwa sasa ndio inahitajika kwa sana kutokana na uljmwengu wa tecknolojia kuahmia kiganjani ktk simu yako.
Pia taaisis nyingi zinataka madeveloper kwa hiyo wale vijana waliokuwq wana copy na kupaste vyuoni wajue ukija mtaani tambue ujue mambo sio ujanja ujanja .
 
Back
Top Bottom