Ni ukosefu wa madini flani au ni nini? Nataka kuacha,ushauri wenu please!!

Ni ukosefu wa madini flani au ni nini? Nataka kuacha,ushauri wenu please!!

Munkari

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2013
Posts
8,084
Reaction score
4,358
Natafuna sana ulimi jamani je nimekosa madini flani mwilini ama ni nini? ......nifanyeje ili niache?
 
Munkari unatafunaje ulimi? Pole angalia usiumie
 
Last edited by a moderator:
Mi mwanangu mkubwa pia ndo ivoivo.

Basi awe ame concentrate na kitu ndo utasema ataukata.

Mimi nlichoona ni kwamba alichelewa kuota meno, so akawa mafizi yakimuwasha anatafuna km kujikuna. Matokeo yake hadi meno uameota bado anaendelea km mazoea. Nlijua utoto tu kadri akikua ataacha lkn hadi leo kigori mzima bado tu. Na kila akua anazidi
 
Natafuna sana ulimi jamani je nimekosa madini flani mwilini ama ni nini? ......nifanyeje ili niache?

Sio upungufu wa madini wala tatizo lolote ila ni tabia ya mazoea tu ambayo ukiamua kuacha unaacha.Hapa hom kulikua na dogo anatabia hyo tukamtia stick na kumkataza hajafanya tena hiyo kitu so ni kama mtu ambaye akikaa kwenye kiti lazma atingishe miguu
 
Pole sana kwa tatizo hilo kwani hii ni sawa na kula kidole,uchafu wa kwenye pua au kunusa sehem za siri.ni tatizo tu ambalo mtu akizoea linamiathiri kisaikologia ila kuacha inawezekana kabisa...kuna mdogo wangu alikia na tabia ya kujinusa sehem za siri ukimuona amechomoka ghafla sehem mmekaa unue kaenda kupinda shingo na kujinusa tangu akiwa na miaka 7 mpaka 15 hivi alikua na tabia hiyo alivoingia sekondar akaacha naona ni mazingira tu akajikuta ameacha..
nakushauri ili uache kuwa unatafuna chewing gum au pipi kila unapojisikia kung'ata ulimi au kula karanga..ili mradi tu mdogo usiwe wazi bila chochote...hatimaye utaacha na kusahau kabisaaa...otherwise madoctor waje labda kuna tiba mbadala
 
jitahd kuwa unatafuna jojo pia jifunze kubana kdogo c sana meno ukiwa umetulia litaisha
 
Mi mwanangu mkubwa pia ndo ivoivo.

Basi awe ame concentrate na kitu ndo utasema ataukata.

Mimi nlichoona ni kwamba alichelewa kuota meno, so akawa mafizi yakimuwasha anatafuna km kujikuna. Matokeo yake hadi meno uameota bado anaendelea km mazoea. Nlijua utoto tu kadri akikua ataacha lkn hadi leo kigori mzima bado tu. Na kila akua anazidi

mh yawezekana namiye nlichelewa ota meno loh! Mana dah sometimes hadi nawakera wenzangu mana najikuta napiga kelele.
 
Sio upungufu wa madini wala tatizo lolote ila ni tabia ya mazoea tu ambayo ukiamua kuacha unaacha.Hapa hom kulikua na dogo anatabia hyo tukamtia stick na kumkataza hajafanya tena hiyo kitu so ni kama mtu ambaye akikaa kwenye kiti lazma atingishe miguu

mh! Jamani sijui kwanini namimi hawakunidhibiti toka mdogo mana dah nawakera watu wakati mwingine!
 
Asante ameline ntajitahidi ila mdogo wako ilikuwa hatari..aisee nakumbuka nipo sec darasani mwalimu alitaka kuniadhibu kwa kosa la kutafuna big g darasani wakati anafundisha,nashukuru wenzangu wakanitetea kuwa sili kitu ilikuwa mvutano.asante kwa ushauri wako.
 
Last edited by a moderator:
huwa wanasema wanaomumunya ulimi wana akili sana kutokana na concentration wanayokuwa nayo
 
Back
Top Bottom