Gharama za Maisha hazijapanda leo wala jana ni muendelezo tu..
Mara moja hii mmesahau kama mlipigwa biti hadi kusema neno “ vyuma vimekaza ”
Izo nguvu unazo tumia kwa Malalamiko, jibidiishe kutafuta kipato ufikie Uhuru wa kutumia.. Utakuja kunishkuru