Tatetitotu
Member
- Mar 6, 2018
- 58
- 42
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
Ningependa kupata ufafanunuzi wa kisheria kuhusu umri wa mtoto ambao mzazi anakuwa anawajibika msomesha mtoto na aina ya elimu kwani nina mtoto wa marehemu dada yangu nimemsomesha kwa shida elimu ya O'level ili hali baba yake mzazi yupo hai matokeo yanaonyesha uwezekano wa kuchaguliwa serikalini haupo lakini anaweza soma chuo au private (advance) umri wake ni miaka 19.
Je, sheria inawezatumika imbane baba yake amsomeshe sababu uwezo wa kufanya hivyo anao na mimi uwezo wangu ni mdogo?
Ningependa kupata ufafanunuzi wa kisheria kuhusu umri wa mtoto ambao mzazi anakuwa anawajibika msomesha mtoto na aina ya elimu kwani nina mtoto wa marehemu dada yangu nimemsomesha kwa shida elimu ya O'level ili hali baba yake mzazi yupo hai matokeo yanaonyesha uwezekano wa kuchaguliwa serikalini haupo lakini anaweza soma chuo au private (advance) umri wake ni miaka 19.
Je, sheria inawezatumika imbane baba yake amsomeshe sababu uwezo wa kufanya hivyo anao na mimi uwezo wangu ni mdogo?