wambeke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 2,655
- 2,650
Habari wana Jamvi.
Nna Mtoto wa Kiume Umri miaka miwili na nusu 2.5 sijamfanyia tohara na niliacha kumfanyia mapema kulingana na mila na desturi za kwetu maana mie Baba ake nilifanyiwa nikiwa kidato cha pili.
Sasa leo mtoto amenishtua kidogo ametoka kuogeshwa akamwambia Mama ake
''Mama nataka kukata dudu yangu"
tukatafsiri kuwa majirani wanaomzunguka a watoto anaocheza nao wote wamekatwa yaani wamefanyiwa tohara tukahisi labda watoto wenzake wamemwambia lazima akatwe.
je akiendelea kuachwa hivyo hivyo hakuna siku tunaweza pata amejikata dudu yake?
je Umri sahihi kiafya ni upi hasa?
Nna Mtoto wa Kiume Umri miaka miwili na nusu 2.5 sijamfanyia tohara na niliacha kumfanyia mapema kulingana na mila na desturi za kwetu maana mie Baba ake nilifanyiwa nikiwa kidato cha pili.
Sasa leo mtoto amenishtua kidogo ametoka kuogeshwa akamwambia Mama ake
''Mama nataka kukata dudu yangu"
tukatafsiri kuwa majirani wanaomzunguka a watoto anaocheza nao wote wamekatwa yaani wamefanyiwa tohara tukahisi labda watoto wenzake wamemwambia lazima akatwe.
je akiendelea kuachwa hivyo hivyo hakuna siku tunaweza pata amejikata dudu yake?
je Umri sahihi kiafya ni upi hasa?