Kwa maoni yangu.. Usimfanyie mtoto tohara akiwa Mdogo sana.. Maana hizo sehem ndo kwanza zinakuwa.. ! Na kama unavyojua kukata dudu (kama alivyosema dogo) kuna maumivu sana.. ! Kiasi kwamba husababisha kufa kwa cells ambazo ni muhimu kwa ukuaji wa dushe la mtoto, due to high stimulation ya nerves zake... Mwishowe mtoto huwa na kibamia... ![emoji41]Habari wana Jamvi.
Nna Mtoto wa Kiume Umri miaka miwili na nusu 2.5 sijamfanyia tohara na niliacha kumfanyia mapema kulingana na mila na desturi za kwetu maana mie Baba ake nilifanyiwa nikiwa kidato cha pili.
Sasa leo mtoto amenishtua kidogo ametoka kuogeshwa akamwambia Mama ake
''Mama nataka kukata dudu yangu"
tukatafsiri kuwa majirani wanaomzunguka a watoto anaocheza nao wote wamekatwa yaani wamefanyiwa tohara tukahisi labda watoto wenzake wamemwambia lazima akatwe.
je akiendelea kuachwa hivyo hivyo hakuna siku tunaweza pata amejikata dudu yake?
je Umri sahihi kiafya ni upi hasa?
Subiri at least afike miaka 6 ,7 au 8 bila hivyo atakuwa na ubooo mdogoHabari wana Jamvi.
Nna Mtoto wa Kiume Umri miaka miwili na nusu 2.5 sijamfanyia tohara na niliacha kumfanyia mapema kulingana na mila na desturi za kwetu maana mie Baba ake nilifanyiwa nikiwa kidato cha pili.
Sasa leo mtoto amenishtua kidogo ametoka kuogeshwa akamwambia Mama ake
''Mama nataka kukata dudu yangu"
tukatafsiri kuwa majirani wanaomzunguka a watoto anaocheza nao wote wamekatwa yaani wamefanyiwa tohara tukahisi labda watoto wenzake wamemwambia lazima akatwe.
je akiendelea kuachwa hivyo hivyo hakuna siku tunaweza pata amejikata dudu yake?
je Umri sahihi kiafya ni upi hasa?
Mkuu Ahsante kwa ushauriKwa maoni yangu.. Usimfanyie mtoto tohara akiwa Mdogo sana.. Maana hizo sehem ndo kwanza zinakuwa.. ! Na kama unavyojua kukata dudu (kama alivyosema dogo) kuna maumivu sana.. ! Kiasi kwamba husababisha kufa kwa cells ambazo ni muhimu kwa ukuaji wa dushe la mtoto, due to high stimulation ya nerves zake... Mwishowe mtoto huwa na kibamia... ![emoji41]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Ahsante kwa ushauri baba Tunda
Pia ukumbuke ile ngozi inaweka uchafu na kusababisha atoe harufu mbaya au usaha (hii ilimtokea mtoto wa Dada yangu na alipopelekwa hospital Dokta akasema inatakiwa atahiriwe)Kwa maoni yangu.. Usimfanyie mtoto tohara akiwa Mdogo sana.. Maana hizo sehem ndo kwanza zinakuwa.. ! Na kama unavyojua kukata dudu (kama alivyosema dogo) kuna maumivu sana.. ! Kiasi kwamba husababisha kufa kwa cells ambazo ni muhimu kwa ukuaji wa dushe la mtoto, due to high stimulation ya nerves zake... Mwishowe mtoto huwa na kibamia... ![emoji41]
Mkuu issue ya usafi ni wazazi wenyewe kutokuwa careful na afya ya watoto wao.. ! Kuhusu usaha huyo mtoto wa dada yako lazima alipata ajali sehemu hizo zikaweka kidonda so usisingizie mkono wa sweta... Na yaonekana ni huo mkono wa sweta ndo uliopata kidonda so ilikuwa kweli lazima huyo mtoto afanyiwe tohara la sivyo angepoteza dushe lote... !Pia ukumbuke ile ngozi inaweka uchafu na kusababisha atoe harufu mbaya au usaha (hii ilimtokea mtoto wa Dada yangu na alipopelekwa hospital Dokta akasema inatakiwa atahiriwe)
Kwa hiyo Mkuu unashauri nisubiri akue kwanza?wasiwasi wangu anaweza kudanganywa nikapata amekata dudu yake kama alivyosema janaMie nilifanyiwa Tohara kwa kisu kikali bila ya ganzi baada ya kumaliza darasa la nane nikiwa na Miaka 14 nimeifurahia sana hali hiyo katika Ujana wangu wote!
Muelimishe asije kudanganywa, hata kwa kumwambia madhara atakayoyapata akikatwa au kujikata yy, ukimwambia inshitaji pesa asubir had zpatkane huenda akaelewa,Kwa hiyo Mkuu unashauri nisubiri akue kwanza?wasiwasi wangu anaweza kudanganywa nikapata amekata dudu yake kama alivyosema jana
Ahsante sana Dada. ila bado mdogo sana sjui kama anajua hakuna pesa wala kuna pesa.Muelimishe asije kudanganywa, hata kwa kumwambia madhara atakayoyapata akikatwa au kujikata yy, ukimwambia inshitaji pesa asubir had zpatkane huenda akaelewa,
Ila ninavyojua ukimfanyia mapema unadumaza ukuaji wa dudu, so zingatia ushaur wa kitaalam kwa kumuona daktar akushaur zaid