Mchukia unafiki
Member
- Mar 5, 2014
- 93
- 48
CWT(Chama Cha Waalimu Tanzania kimejaa usanii mtupu,natokeo ya kidato cha nne kila mwaka yanaporomoka na Katiba ya CWT inasisitiza elimu bora hali inazidi kuwa mbaya hadi serikali inajiongeza na kuweka div 5"CWT mna mpango gani,Tunasubiri tamko lenu au mpaka wakati a migomo ya kimaslahi mnatuuza waalimu?