shukuru million
Member
- Jan 30, 2014
- 23
- 0
Tunaona kimya kabisa hadi leo hivi hamjui kuwa tunaumia sisi wa hali ya chini.?
Nini kinaendelea huko serikalini au ninyi viongozi mnanunua wapi mahitaji yenu?
Maduka yamefungwa mfululizo siku tano sasa.aah jamani nchi hii vipi enyi wakuu?
Nini kinaendelea huko serikalini au ninyi viongozi mnanunua wapi mahitaji yenu?
Maduka yamefungwa mfululizo siku tano sasa.aah jamani nchi hii vipi enyi wakuu?