MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Hili Genge lilitamba sana miaka ya nyuma na kutuaminisha kwamba lenyewe ndiyo lina hati milili ya uongozi wa nchi yetu
Mambo yanaenda kasi sana, na tayari chama chetu pendwa kimekuja na azimio., azimio linalilosababisha vijana zaidi ya 1000 kutembea kutoka Dodoma hadi Dar-es Salaam kuliunga mkono. Huu ni ufurukutwa wa hali ya juu na mapenzi makuu kwa chama chao
Swali linabakia, ninini mustakabali wa SUKUMA GANG na magenge mengine ya kipuuzi kama hayo?
Mambo yanaenda kasi sana, na tayari chama chetu pendwa kimekuja na azimio., azimio linalilosababisha vijana zaidi ya 1000 kutembea kutoka Dodoma hadi Dar-es Salaam kuliunga mkono. Huu ni ufurukutwa wa hali ya juu na mapenzi makuu kwa chama chao
Swali linabakia, ninini mustakabali wa SUKUMA GANG na magenge mengine ya kipuuzi kama hayo?