Asante mkuu kwa kuelewa........ FaizaFoxy .. KikulachoChako ni kweli huo ni mchezo wa kipumbavu kabisa ni kinyume na maadili yetu,ina haamasishaaa ushoga na usagaji....
mchezo haufai kabisa kuangaliwaaa
.. FaizaFoxy .. KikulachoChako ni kweli huo ni mchezo wa kipumbavu kabisa ni kinyume na maadili yetu,ina haamasishaaa ushoga na usagaji....
mchezo haufai kabisa kuangaliwaaa
Kama inakuuzi, kuboa ..futa delete kabisa.
Wewe kama unaona huwezi kupiga kura na huoni umuhimu wake acha ambao wanajisikia kupiga kura wapige..Sidhani kama kuna aliyelazimishwa kupiga. .this is a free world..Mtu anafanya anachoona kwake kinamfurahisha..So kama huoni umuhimu wake fanya yako mama
mimi naona ni mapenzi binafsi ya mtu kama ww upendi wapo wanaopenda kuwapigia so baki na msimamo wako na wengine wabaki na wakuwapigia
mwendomdundo
Umeongea the truth in the professional way, kwa mfano mi sipigi wala sijawahi piga wala sitapiga kura BBA wala Miss world, lakini sioni kama napaswa kuingilia people's life, that is non of my concerns, kila mtu afanye anachojisikia ilimradi havunji sheria za nchi, lazima tujifunze kuvumiliana, faizafox we alikwambia wakaa uchi wanakupenda we mvaa hijabu ni nani? We usivyopenda life style yao na wao hawapendi ya kwako vivyo hivyo. Civilization ni pamoja na kuvumiliana.
Maana naona siku hizi watu tunahimizwa katika Media zote as if ni sahihi kufanya hivyo coz mi sioni yanatufundisha chochote katika maisha zaidi ya upuuzi mtupu. Kama vipi nendeni mkawaombee kura kwa wahuni wenzao, shwain!
Wanaoungana nami kwenye hili leteni michango yenu hapa. Na tupinge mashindano ya kipuuzi kama haya nchini kwetu.
tuko pamoja..hakika ni upuuzi mtupu.Maana naona siku hizi watu tunahimizwa katika Media zote as if ni sahihi kufanya hivyo coz mi sioni yanatufundisha chochote katika maisha zaidi ya upuuzi mtupu. Kama vipi nendeni mkawaombee kura kwa wahuni wenzao, shwain!
Wanaoungana nami kwenye hili leteni michango yenu hapa. Na tupinge mashindano ya kipuuzi kama haya nchini kwetu.
Aliekwambia kua uzalendo unapimwa kwa kura kwa mkaa uchi ni nani....
Wewe ndio uwe mzalendo kwa mashoga na wasagaji wenzio sio mimi....
Wewe kama unaona huwezi kupiga kura na huoni umuhimu wake acha ambao wanajisikia kupiga kura wapige..Sidhani kama kuna aliyelazimishwa kupiga. .this is a free world..Mtu anafanya anachoona kwake kinamfurahisha..So kama huoni umuhimu wake fanya yako mama
Leo itabidi nichinje jogoo, kwa mara ya kwanza umeniunga mkono kiaina yako.
Bahati nzuri halazimishwi MTU...ukiona upuuzi unapita hivii...tena kimya kimya bila kusumbua wenzio...
Na bora umpigie Idriss atuletee mijihela home kuliko kuwapigia kura kina nanihii wa Escrow wanaozihamishia pesa zetu kwenye mabenki ya Uswis....
Ni hayo tuu....
Nitapiga kura endapo nitajua huko BIG BROTHER wanashindania nini....?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums