kwani kuna mtu kakulazimisha kupiga kura...watu wa bara utawajua tu mambo yao wana wivu wivu kama wameolewa nyumba moja
Watu hawa wanaakili kweli?
1. Wamefungiwa ndani
2. Wanalewa nakunywa hovyo
3. wanaoga hadharani
4. wanafanya matendo machafu na ya hovyo hadharani
5. wanaigiza matendo na maisha ya kuigiza ambayo sio halisi kwa mwafrika wakweli
6. wanaopanga mbinu za kuangushana, kuaibishana na kusalitiana
Tunajifunza nini kwa washenzi hawa wa Big Brother kama sio kupotosha asili na maadili ya mwafrika?
Mimi huwa sishabikii upuuzi wowte ule ambao unashusha hadhi ya ubinadamu. Watembea uchi wote hawafai kuitwa binadamu
Dah pesa! mpaka mtu ukae uchi ndio unaipata! tuwe waungwana maadili yameporomoka! lakini wanaoshabikia hili shindano wanafanana nalo so hata kama mnasema tunaingilia maisha ya watu tusilikemee hili? simzuii mtu lakini msimamo yangu sipigi kura kwa hili mifano ya vyama na nini sijui mafisadi mnajifariji tuu lakini mioyoni mwenu mnajua maadili yamekiukwa.
hapo utakua umefanya la maana
Huwa najiuliza hili shindano wanashindana kufanya nini hasa? ili mtu apate ushindi anafanya nini? sijawai kupata jibu!
imagine if boarding schools (for above 18yrs students) and universities were like that...
View attachment 208774
Hiyo ni VIP asee, ukitaka kuona wakiwa bathroom unalipia extra charges. Unless hao wanaosema wanatembea uchi labda wanaangalia BBA nyingine sio hii... Mule ndani wanafundishwa vitu vingi tu. Nando mshiriki wa Tanzania last year kapata deal la kuigiza filamu moja kali sana huko Cameroon
bado mnasema ni upuuzi????
Hata kama ange chukua $ 300,000 billionWakati dogo kachukua $300,000 almost 522,000,000
Hihiiiii