boss kweli kachukua! lakini akiulizwa alifanya nini hadi ameshinda atasemaje kwa mfano?
Another one!
He was an entertainer he made prople like us glued 24/7 in our tv screens jus enjoying his games.... U can call us stupid likini thts how we live afu tuko happy balaaa...
Kila mtu na starehe yake banaaa
Ah, it doesn't matter kafanya nini... who cares? By the way, kabla hata sijafikiria kumuuliza Idris kafanya nini hadi ameshinda nitaanza kwanza kuuliza hivi akina William Ngeleja wamefanya nini hadi walipwe mamilioni yote yale na Braza Ruge!!!
sifanyi huo upuuzi hata siku moja!
I meant a fool bro... Sorry!
kwani kuna mtu kakulazimisha kupiga kura...watu wa bara utawajua tu mambo yao wana wivu wivu kama wameolewa nyumba moja
ubarikiweNaam, ni upuuzi usio na mfano. Kati ya civilization za mwanzo kabisa kwa binaadam ni pamoja na kujuwa kujistiri tupu zake na kuvaa nguo, leo tukapigie kura wavuwa nguo na watembea utupu kwa makusudi kabisa wakijianika bila kujali chochote.
Eti maendeleo! Khaa! kama si ujinga huo ni nini?
Ongeeni vyovyote muwezavyo lakini ukweli unabaki palepale BBA ni upuuzi mtupu na ushetani mtupu.
Anayedhani pesa ndio utu wa mtu basi ajitokeze hapa nimuelekeze wafiraji maarufu hapa mjini ambao wanatoa pesa na magari kwa ajili ya kunduz tu.
Hongera Idris kwa ushindi wa millioni mia tano na uchafu achana na mijitu yenye wivu hizo pesa hawatakuja hata kugusa maishayao yote plus pension zao za uzeeni... Kama unachefuka na BBA lamba ndimu usitapike.. hutaki kunya Boga hahaha