jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Ni fact kuwa tulipokuwa tunaelekea uchaguzi wa mwaka 2015 CCM ilikuwa hoi bin taabani katika taswira yake kweye jamii.
Alihitajika mwamba wa kuikomboa.
Nampongeza Mhe Jakaya kwa kutulutea JPM ambaye aliiheshimisha CCM. Katika harakati za kampeni Magufuli alikiri kuwa wapo wana CCM waliokuwa wanamsaliti yaani mchana wapo CCM na usiku wapo Chadema..lakini alipambana na akashinda.
Baada ya kushinda Magufuli aliamua kuja kizalendo zaidi yaani kuwanyoosha wote ndani na nje ya CCM...He did it perfectly.
moja wapo ya Machineries alizotumia Magufuli kunyoosha Chama,Serikali na Wahuni ni pamoja na kina Bashiru,PolePole,nape na makamba(kabla ya kumissbehave).
Magufuli aliunda Timu (Task force) ya kufuatilia mali za chama ambazo zinatumiwa na wachache kujineemesha .Taskforce hii imefanya kazi kubwa sana na kuleta heshima ya "wajumbe" kwenye chama ni mhuni tu na mpigaji ambaye anaweza kuibeza.
Zaidi tunajua masakata ya mbaazi, mafuta, beured change na korosho yalivyomsumbua Magufuli yaani wanamaslahi wa bidhaa hizo walilalama sana na walipiga kelele sana.
sasa inaonekana hawa wamepumua kwa sasa ...sio tatizo ...tatizo wanataka kuleta kebehi na majivuno...hilo sio sawa na linapaswa kudhibitiwa haraka na vilivyo.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Alihitajika mwamba wa kuikomboa.
Nampongeza Mhe Jakaya kwa kutulutea JPM ambaye aliiheshimisha CCM. Katika harakati za kampeni Magufuli alikiri kuwa wapo wana CCM waliokuwa wanamsaliti yaani mchana wapo CCM na usiku wapo Chadema..lakini alipambana na akashinda.
Baada ya kushinda Magufuli aliamua kuja kizalendo zaidi yaani kuwanyoosha wote ndani na nje ya CCM...He did it perfectly.
moja wapo ya Machineries alizotumia Magufuli kunyoosha Chama,Serikali na Wahuni ni pamoja na kina Bashiru,PolePole,nape na makamba(kabla ya kumissbehave).
Magufuli aliunda Timu (Task force) ya kufuatilia mali za chama ambazo zinatumiwa na wachache kujineemesha .Taskforce hii imefanya kazi kubwa sana na kuleta heshima ya "wajumbe" kwenye chama ni mhuni tu na mpigaji ambaye anaweza kuibeza.
Zaidi tunajua masakata ya mbaazi, mafuta, beured change na korosho yalivyomsumbua Magufuli yaani wanamaslahi wa bidhaa hizo walilalama sana na walipiga kelele sana.
sasa inaonekana hawa wamepumua kwa sasa ...sio tatizo ...tatizo wanataka kuleta kebehi na majivuno...hilo sio sawa na linapaswa kudhibitiwa haraka na vilivyo.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!