Ni Usaliti wa Kidelillah au ni kwa Maslahi ya Taifa?

Ni Usaliti wa Kidelillah au ni kwa Maslahi ya Taifa?

Keynez

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
2,428
Reaction score
3,937
Katika uchaguzi huu uliopita wa 2020, CHADEMA walitegemea sana nguvu ya Mwanamke.

Cha kushangaza, CCM ambao kwa miaka mingi walituaminisha kuwa Mwanamke wa Kitanzania ana ushawishi mkubwa katika siasa zetu, walionekana kutojali kabisa nguvu ya Mwanamke, labda Zuchu tu.

Wagombea Wanawake nafasi ya Ubunge kwa CCM walikuwa wachache na hakukuwa na juhudi zozote za kusafisha kauli za ukakasi za kiongozi wao dhidi ya Wanawake.

Cha kustaajabisha kingine, binafsi sikuona juhudi au mbinu zozote za kiubunifu za CHADEMA kumobilize Mwanamke wa Kitanzania katika uchaguzi huu, zaidi ya kuweka wagombea wengi kwa nafasi ya Ubunge. Kuna jambo halikuwa sawa ndani ya chama.

Juzi nilileta mada nyingine niliyoomba tujadili mada ya maslahi ya Taifa. Ni watu wa wachache sana wenye uwezo wa kukataa, wakiambiwa wafanye jambo fulani kwa maslahi ya taifa, hata kama litaleta ukakasi kwa wale wanaowazunguka.

Nisiseme mengi. Nimeokota hii clip sehemu, nimeone niitupie hapa iambatane na bandiko langu.

 
Samson and Delilah by Middle of the Road

Samson and Delilah
Lived a long long time ago.
She was undecided
But man! that hair just had to go.
Na na na na na
Na na na na na na
Na na na na na
Na na na na na
On the Friday evening
Things were going mighty fine
Then he started sleeping
'Cos she slipped something in the wine.
Na na na na na
Na na na na na na
Na na na na na
Na na na na na
Ain't no glory in this fable
Like the story Cain and Abel
Samson's gonna turn the tables.
Samson had a feeling
That God would guide his feeble hand.
Man, you should 've seen him
Pushin' pillars from the stand.
Na na na na na
Na na na na na na
Na na na na na
Na na na na na
On the Friday evening
Things were going mighty fine
Then he started sleeping
'Cos she slipped something in the wine.
Na na na na na
Na na na na na na
Na na na na na
Na na na na na
Ain't no glory in this fable
Like the story Cain and Abel
Samson's gonna turn the tables.
Samson had a feeling
That God would guide his feeble hand.
Man, you should 've seen him
Pushin' pillars from the stand.
 
Hahahaaaaaaaa

Katikati ya maumivu haya, embu ngoja tu tucheke. Tutafanyaje sasa?

20201126_092041.jpg
 
Maslahi ya taifa vipi wakati wengine wameumizwa ndani ya taifa hilo hilo, wenzao wamekimbia nchi kwa kuhofia usalama wao, halafu wao ndio waseme ni kwa maslahi ya taifa? hawana adabu kabisa.

Hayo ni maslahi yao binafsi wasituchezee akili.
 
Hii ni kwa maslahi mapana ya taifa.

Chama cha siasa sio biashara binafsi, hakiwezi kufanya maamuzi kwa hisia, hasahasa maamuzi ya kuathiri shughuli za vyombo vya dola.

Chadema kuteua wabunge viti maalum ni WAJIBU wao kwa misingi ya kikatiba, sio hiyari.
 
Hii ni kwa maslahi mapana ya taifa.

Chama cha siasa sio biashara binafsi, hakiwezi kufanya maamuzi kwa hisia, hasahasa maamuzi ya kuathiri shughuli za vyombo vya dola.

Chadema kuteua wabunge viti maalum ni WAJIBU wao kwa misingi ya kikatiba, sio hiyari.
Katiba inaruhusu polisi waibe kura???TACAIDS wamejitoa mtakufa na ngoma mpaka mshangae
 
Back
Top Bottom