Ni ushamba na ulimbukeni

Ni ushamba na ulimbukeni

Siku iz tukipata watoto tu cha kwanza ni IG account,bank account atajijua mwenyew.Likes za ndugu zetu zitawasomesha nadhani.

Halaf account ya mtoto inapost I LOVE YOU DAD-unacoment I LOVE ungeweza kufikisha ujumbe na ukaeleweka hapa ukitukanwa usilalamike....
 
Achana nao fungua account yako bank inatosha
 
Back
Top Bottom