Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Nimekaa nikawaza, leo nchi kama India, Japan, Urusi, Marekani zinapigana vikumbo kuingia mwezini!
Je, sisi Watanzania ni tafiti gani tumewahi fanya hapa duniani?
Je, katika bajeti ya serikali ni kiasi gani kimetengwa au kimewahi kutengwa kwa ajili ya tafiti?
NB: Naongelea tafiti ambayo serikali imefadhili na sio tafiti zinazofanywa kwa msaada wa watu wa Marekani.
Je, sisi Watanzania ni tafiti gani tumewahi fanya hapa duniani?
Je, katika bajeti ya serikali ni kiasi gani kimetengwa au kimewahi kutengwa kwa ajili ya tafiti?
NB: Naongelea tafiti ambayo serikali imefadhili na sio tafiti zinazofanywa kwa msaada wa watu wa Marekani.