Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
AiseeNadhani ni ule wa babu wa loliondo
Si unaangalia na hali halisi ya uchumi wa nchi yako halafu ndiyo unaanza kutoa challenges za namna hii?Nimekaa nikawaza, leo nchi kama India, Japan, Urusi, Marekani zinapigana vikumbo kuingia mwezini!
Je, sisi Watanzania ni tafiti gani tumewahi fanya hapa duniani?
Je, katika bajeti ya serikali ni kiasi gani kimetengwa au kimewahi kutengwa kwa ajili ya tafiti?
NB: Naongelea tafiti ambayo serikali imefadhili na sio tafiti zinazofanywa kwa msaada wa watu wa Marekani.
Hata hujaelewa mada.Si unaangalia na hali halisi ya uchumi wa nchi yako halafu ndiyo unaanza kutoa challenges za namna hii?
Serikali ina watu inaohitaji kuwahudumia, na hivyo kwa sasa haina fedha ya ziada ya kuingia kwenye tafiti za aina hii. Ni maoni yangu, siisemei Serikali
NI mpumbavu tu anayeweza kuanza kufanya utafiti wa aina hii ilhali kuna watoto wanahitaji vyumba vya madarasa na baadhi ya wananchi wanahitaji chakula na mbolea ya ruzuku kutoka Serikalini
Ningekubaliana na wewe kama tuseme ungehoji kwamba kwa nini bado sisi hatujafikia hatua hiyo hadi muda huu na si kuanza ku-challenge kwamba kwa nini sisi hatufanyi utafiti wa aina hiyo
Hiyo ni mara nyingi. Tuchukulie hao wanazuoni hawajahi omba fund serikalini (japo si kweli) Je hao wengine wa "mara chache" wamefanya kipi?Mara nyingi tafiti zinafanywa na wasomi:-
Wamefanya jitihada zipi, waliomba kuwezeshwa wakanyimwa?
- Wanazuoni:- PhDs, Profs
- Wanasayansi:- je tunao?
Changamoto itakuwa ni kwenye kupangilia diraHiyo ni mara nyingi. Tuchukulie hao wanazuoni hawajahi omba fund serikalini (japo si kweli) Je hao wengine wa "mara chache" wamefanya kipi?
Ugaidi na uhaini + usaliti!!Nimekaa nikawaza, leo nchi kama India, Japan, Urusi, Marekani zinapigana vikumbo kuingia mwezini!
Je, sisi Watanzania ni tafiti gani tumewahi fanya hapa duniani?
Je, katika bajeti ya serikali ni kiasi gani kimetengwa au kimewahi kutengwa kwa ajili ya tafiti?
NB: Naongelea tafiti ambayo serikali imefadhili na sio tafiti zinazofanywa kwa msaada wa watu wa Marekani.
Tunao wasomi wengi tu maDr na maProfessor na wote hawa wamefanya tafiti za kutosha kufikia kwenye level hizo. Au pengine labda unataka tafiti za aina gani hasa? Tuseme labda kama vile za kuunda chombo cha kwenda mwezini? Wewe ni msomi? Katika level gani?Hata hujaelewa mada.
Hayo ya mwezini nimetolea mfano.
Swali nililo uliza je ni tafiti gani hapa duniani ambayo imefanywa na watanzania?
Nilitarajia unitee list ya tafiti na sio kufocus kwenye mfano niliotoa.
Korona kushambulia mapapai na ugunduzi wa dawa ya kuvukiza na mashine kuwekwa muhimbiliNimekaa nikawaza, leo nchi kama India, Japan, Urusi, Marekani zinapigana vikumbo kuingia mwezini!
Je, sisi Watanzania ni tafiti gani tumewahi fanya hapa duniani?
Je, katika bajeti ya serikali ni kiasi gani kimetengwa au kimewahi kutengwa kwa ajili ya tafiti?
NB: Naongelea tafiti ambayo serikali imefadhili na sio tafiti zinazofanywa kwa msaada wa watu wa Marekani.