Mpemba Effect aligundua Erasto MpembaNimekaa nikawaza, leo nchi kama India, Japan, Urusi, Marekani zinapigana vikumbo kuingia mwezini!
Je, sisi Watanzania ni tafiti gani tumewahi fanya hapa duniani?
Je, katika bajeti ya serikali ni kiasi gani kimetengwa au kimewahi kutengwa kwa ajili ya tafiti?
NB: Naongelea tafiti ambayo serikali imefadhili na sio tafiti zinazofanywa kwa msaada wa watu wa Marekani.
Tumegundua mengi, kama vile Risasi ikipigwa hewani inaweza kukata kona na kumpiga mtu na kumuua..Nimekaa nikawaza, leo nchi kama India, Japan, Urusi, Marekani zinapigana vikumbo kuingia mwezini!
Je, sisi Watanzania ni tafiti gani tumewahi fanya hapa duniani?
Je, katika bajeti ya serikali ni kiasi gani kimetengwa au kimewahi kutengwa kwa ajili ya tafiti?
NB: Naongelea tafiti ambayo serikali imefadhili na sio tafiti zinazofanywa kwa msaada wa watu wa Marekani.
Hazipo.Hata hujaelewa mada.
Hayo ya mwezini nimetolea mfano.
Swali nililo uliza je ni tafiti gani hapa duniani ambayo imefanywa na watanzania?
Nilitarajia unitee list ya tafiti na sio kufocus kwenye mfano niliotoa.
Mkuu twende taratibu, mfano nchi za wenzetu wanafanya tafiti na tunaziona, kuanzia madawa, space, technology na engineering! Nitajie moja ambayo imefanywa na tanzania ikawika anga za kimataifa.Hazipo.
Hao maProfesa na maDr tulionao hawajafanya tafiti zozote ila ni wewe uliwapa zawadi ya titles hizo
ππTuchape kazi....
Watanzania tusitishwe...
Haya ni mafua yalio changamka...
R.i.P John..π₯
Mkuu Hivi mbona serikali inajaza magari ya thamani pale halmashauri na wizarani kwani madarasa yametosha. Yale magari wanafanyia kazi gani hasa ? Kumbuka kila ngazi kuna kiongozi kuanzia mtaa sasa yale magari ya nini ? Si bora hata zingefanyika tafoti za kutusaidia kuliko unanunua magari yasioleta tija? Ukifankiwa kurusha satelite angani ukauza mawasiliano unatengeneza billions of money kuliko ulizowekeza.Si unaangalia na hali halisi ya uchumi wa nchi yako halafu ndiyo unaanza kutoa challenges za namna hii?
Serikali ina watu inaohitaji kuwahudumia, na hivyo kwa sasa haina fedha ya ziada ya kuingia kwenye tafiti za aina hii. Ni maoni yangu, siisemei Serikali
NI mpumbavu tu anayeweza kuanza kufanya utafiti wa aina hii ilhali kuna watoto wanahitaji vyumba vya madarasa na baadhi ya wananchi wanahitaji chakula na mbolea ya ruzuku kutoka Serikalini
Ningekubaliana na wewe kama tuseme ungehoji kwamba kwa nini bado sisi hatujafikia hatua hiyo hadi muda huu na si kuanza ku-challenge kwamba kwa nini sisi hatufanyi utafiti wa aina hiyo