Ni utapeli au napoteza bahati?

Duuh kwl dunia ina mambo
 
Ni utapeli mkuu

Kwanza huyo sio mzungu Bali nitapeli mweusi aliye vamia/hack account ya fb ya mzungu na kuanza kuitumia katika Mambo yake ya kitapeli

Pili kuhusu mzigo wako kutua Kenya badara ya tz sio bahati mbaya Bali ni key kuku fanya uingie mfukoni utoe hiyo hela na kuituma huku wakikuchanganya na picha fake za I.A ili u hizike zaidi

Tatu Kuna watu zaidi ya mil 2 tz wamepigwa kwa mtindo huo hivyo kuwa makini
 
Huyu hapa.kama amekuomba urafiki kuwa makini
 

Attachments

  • Screenshot_20250126-213314.png
    190.6 KB · Views: 3
Kasongo yeyeee, mobali na ngai 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😘
 
Mbona utapeli wa kizamani sana 2007 enzi wanatumia Yahoo mail. Zikijulikana kama Nigeria Emails.

Unapogwa mchana kweupe. Run.
 
Ndugu yangu unapigwa na kitu kizito...hii stori niliiskia hivihivi kutoka kwa mtu anajielezea pale airport dar mwezi wa 11 mwaka jana...ametapeliwa laki 4🙌
 
Hao ni matapeli. Kuwa makini sana!
 
Bila shaka huyo unaemuita mzungu jina lake la pili ni Adrian siyo?
 
Ww akili huna, sasa kama upo Tz kwann alivyosema mzigo utafika Kenya usiseme kuwa unataka ufike Tz?
Pumbavu
 
Ni heri ulivyoleta mada JF na uzuri wadau wamekusanua. Usipoelewa shauri yako. Wenzio huwa wanafanya SIRI halafu wanaishia kupigwa za uso. Kwa ufupi JF imekuokoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…