SOLDIER GENIUS
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 358
- 241
Wadau naomba msaada, nataka nibadilishane kituo cha kazi, je process anafanya mmoja au wote? Asante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1.Mnafanya wote.
2.Andka barua iptie kwa mkuu wako,mratbu wako wa elim,afsa wako wa elim,afsa elim wa unaebadl
shana nae,mkurugenzi wako na juu kabsa mkurugenzi wa mnaebadlshana nae ktuo....baada ya kusain kwako mnabadlshana barua zksainiwa znarid tena kwako.
3.utasubr kibali kutoka Tamisemi.
4.utakuwa tayar upo kituo kipya.