1.Mnafanya wote.
2.Andka barua iptie kwa mkuu wako,mratbu wako wa elim,afsa wako wa elim,afsa elim wa unaebadl
shana nae,mkurugenzi wako na juu kabsa mkurugenzi wa mnaebadlshana nae ktuo....baada ya kusain kwako mnabadlshana barua zksainiwa znarid tena kwako.
3.utasubr kibali kutoka Tamisemi.
4.utakuwa tayar upo kituo kipya.