Ni uthibitisho gani unahitajika ili mtu aweze kushtaki kama amesumbuliwa?

Ni uthibitisho gani unahitajika ili mtu aweze kushtaki kama amesumbuliwa?

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
0001-15397950062_20210111_165205_0000.png


Ili mtu aweze kufanikiwa Katika Kumshitaki mtu mwingine kwa Usumbufu lazima aweze kuthibitisha vitu viwili:-

1. Uwepo wa usumbufu uliokuwa kinyume na sheria au usiokuwa na sababu za msingi.

2. Kupata Hasara kutokana na Usumbufu uliofanywa.
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom