JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Ili mtu aweze kufanikiwa Katika Kumshitaki mtu mwingine kwa Usumbufu lazima aweze kuthibitisha vitu viwili:-
1. Uwepo wa usumbufu uliokuwa kinyume na sheria au usiokuwa na sababu za msingi.
2. Kupata Hasara kutokana na Usumbufu uliofanywa.
Upvote
0