ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Aisee Kuna watu sijui niseme Ni elimu ndogo au Ni imani tu potofu kukithiri akilini eti mtu anakusimulia visa vya kichawi kwamba Kuna watu Wana uwezo wa kuzuia mvua kunyesha.jamani elimikeni nyie ambao bado mnaendelea kuamini dhana ya uwepo wa uchawi kifupi hakuna kiumbe chochote ambacho kina weza kuingilia nature ya ulimwengu na kikafanya mchezo kuchezea hydrologic cycle.sio mchina,sio msukuma sio mkigoma,sio msumbawanga hakuna yoyote mwenye uwezo huo.hakuna uchawi wa kutengeneza radi hizo Ni stories tu ambazo hakuna shahidi isipokuwa nyote mmezisikia kwenye masimulizi.hakuna uchawi wowote fikirini nje ya box bndugu zangu kifupi uchawi au ushirikina Ni ile Hali ya mtu kujitenga na Mungu,so mtu anapokuwa mbali na Mungu means Hana subira atakuwa akimaini Jambo lake lingine lakini Hilo Jambo halijawahi kumletea matokeo anayotaka ila yeye ataendelea TU kuliamin.huo ndo uchawi yaani yeye anakuwa akiamini kwamba Kuna matokeo fulani yatatokea akivunja Nazi barabarani lakini hakuna linalotokea lenye uhusiano na alichokifanya.. practically inafanywa lakini outcome hakuna.ni Kama dhambi TU ukiianza utakuwa mtaalam wa dhambi hio kiasi kwamba utabuni mpaka njia mpya za kuiboresha dhambi yako na kuiacha inakuwa Ni ngumu,so na mchawi ndo hivo hivo.
au mfano rahisi Ni kama kubet unaamini utashinda lakini hushindi na siku ikitokea ukishinda unaamini inawezekana.so hata uchawi mtu anadanganywa na mganga amuloge fulani aumwe so huyo fulani hata akiumwa ugonjwa wa kawaida Kama kansa au kisukari nyie mtaamini uchawi ndo umewawezesha kufanya aumwe..hio ndo reality iliyopo na ndo maana hata hao ambao mnaamini Ni wachawi wanakufa na kuumwa kama sisi na wanakuwa na matatizo Kama yetu tu mawazo Kama yetu stress Kama zetu,umaskini Kama Sisi wakati sote tunajua hakuna asiyependa shida hapa duniani sote tunapozaliwa tunajitahidi kutafuta mafanikio ambayo yataonekana kwa watu na kutupa faraja lakini hao wachawi hakuna wanalopata ndo kwanza Wana maisha magumu.wanatamani Wapate wepesi lakini hawapati so kwa kuwa hawamtegemei Mungu wanaendelea kusumbuka na ulozi na kwa ujinga wao Mungu anawapiga pigo na kuwaachia waendelee kuhangaika kuamini ipo siku Miungu Yao ya sanamu itajibu lakini haijibu ipo kimya na maisha yanaendelea hivihivi chini ya jua.miliki ya Mungu inaendelea kujengwa kwa kutumia nguvu na sio maajabu..hakuna uchawi msiogope Mambo ambayo hayapatani na akili.
Uongo na ukweli tofauti yake Ni inch 2.5 - JamiiForums
au mfano rahisi Ni kama kubet unaamini utashinda lakini hushindi na siku ikitokea ukishinda unaamini inawezekana.so hata uchawi mtu anadanganywa na mganga amuloge fulani aumwe so huyo fulani hata akiumwa ugonjwa wa kawaida Kama kansa au kisukari nyie mtaamini uchawi ndo umewawezesha kufanya aumwe..hio ndo reality iliyopo na ndo maana hata hao ambao mnaamini Ni wachawi wanakufa na kuumwa kama sisi na wanakuwa na matatizo Kama yetu tu mawazo Kama yetu stress Kama zetu,umaskini Kama Sisi wakati sote tunajua hakuna asiyependa shida hapa duniani sote tunapozaliwa tunajitahidi kutafuta mafanikio ambayo yataonekana kwa watu na kutupa faraja lakini hao wachawi hakuna wanalopata ndo kwanza Wana maisha magumu.wanatamani Wapate wepesi lakini hawapati so kwa kuwa hawamtegemei Mungu wanaendelea kusumbuka na ulozi na kwa ujinga wao Mungu anawapiga pigo na kuwaachia waendelee kuhangaika kuamini ipo siku Miungu Yao ya sanamu itajibu lakini haijibu ipo kimya na maisha yanaendelea hivihivi chini ya jua.miliki ya Mungu inaendelea kujengwa kwa kutumia nguvu na sio maajabu..hakuna uchawi msiogope Mambo ambayo hayapatani na akili.
Uongo na ukweli tofauti yake Ni inch 2.5 - JamiiForums