THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Salaam,
Kuna ndug yangu kanipatia swali ambalo kwa kweli mimi sina elimu nalo ya kutosha,mwenye ujuzi anisaidie nipate cha kumjibu..
"AMEKUTANA KIMWILI "KAZINI","KASEX","KAFANYA TENDO LA NDOA" N,K na binti wa makamo yake,umri wa miaka 32 kama yeye,ila hawana mahusiaono rasmi ya kindoa,
Yapata miaka mitatu alikuwa nje ya nchi kimasomo,kipindi anasoma mahusiano yake na mchumba wake yalikuwa ni kwa njia ya mawasiliano tuh na walifanikisha kujenga mahusiano yao,
Alipomaliza masomo mwaka huu nakurud nyumban TZ aliendeleza mahusiano yake kingono na mwenza wake,
Juzi anasema hakutumia KINGA kwa tendo hilo,anasema japo alienda mshindo mara moja tuh,alimwandaa vyema mwenzake na pia hakuwa na michubuko katika maungo yake ya siri,kinachompa stress ni kwamba haijui afya ya mwenzake kwani hawakupima hivi alivyorudi kutoka masomoni,,
Tujaalie yule mwenzake ana H.I.V,vipi uwezekano wa yeye kuupata ugonjwa huo ukoje??
Kama alimuandaa vyema mwenzake na kusex nae kwa mshindo mmoja wa dakik kadhaa,tuseme si chini ya kumi,asilimia yake yeye kupata maambukiz zikoje//
Ahsante Natanguliza..
Kuna ndug yangu kanipatia swali ambalo kwa kweli mimi sina elimu nalo ya kutosha,mwenye ujuzi anisaidie nipate cha kumjibu..
"AMEKUTANA KIMWILI "KAZINI","KASEX","KAFANYA TENDO LA NDOA" N,K na binti wa makamo yake,umri wa miaka 32 kama yeye,ila hawana mahusiaono rasmi ya kindoa,
Yapata miaka mitatu alikuwa nje ya nchi kimasomo,kipindi anasoma mahusiano yake na mchumba wake yalikuwa ni kwa njia ya mawasiliano tuh na walifanikisha kujenga mahusiano yao,
Alipomaliza masomo mwaka huu nakurud nyumban TZ aliendeleza mahusiano yake kingono na mwenza wake,
Juzi anasema hakutumia KINGA kwa tendo hilo,anasema japo alienda mshindo mara moja tuh,alimwandaa vyema mwenzake na pia hakuwa na michubuko katika maungo yake ya siri,kinachompa stress ni kwamba haijui afya ya mwenzake kwani hawakupima hivi alivyorudi kutoka masomoni,,
Tujaalie yule mwenzake ana H.I.V,vipi uwezekano wa yeye kuupata ugonjwa huo ukoje??
Kama alimuandaa vyema mwenzake na kusex nae kwa mshindo mmoja wa dakik kadhaa,tuseme si chini ya kumi,asilimia yake yeye kupata maambukiz zikoje//
Ahsante Natanguliza..