klorokwine
JF-Expert Member
- Nov 4, 2014
- 378
- 31
Wakuu naomba kupata mawazo yenu juu ya bidhaa gani naweza kuprocess na kuzalisha hapa nchini,
Hasa ukizingatia nahitaji kutumia mashine rahisi na mtaji kidogo (usiozidi tsh mil 5)
Muhimu kuzingatia upatikanaji rahisi wa mali ghafi za hapa hapa nyumbani.
Naomba mchango wenu wadau.
Hasa ukizingatia nahitaji kutumia mashine rahisi na mtaji kidogo (usiozidi tsh mil 5)
Muhimu kuzingatia upatikanaji rahisi wa mali ghafi za hapa hapa nyumbani.
Naomba mchango wenu wadau.