klorokwine
JF-Expert Member
- Nov 4, 2014
- 378
- 31
Kwa swali lako ni sawasawa na unaomba watu wakupe Business Idea zao kitu ambacho Kwa mimi nahisi ni kigumu na itakuchukua muda kukipata.
Cha msingi kaa chini angalia mazingira yako yanayokuzunguka na tafuta opportunity ya kitu gani kina-miss then fanya production ya hicho kitu....!
Kila la heri Mkuu!
Aisee kumbe unajua kutoa nondo kwa Wenzi Kizzy.
Mbaya zaidi mleta ni kwamba hajafahamika hasa anataka nini,ni mbaya sana.
Kijana lazima kwanza uwe na plans kichwani then ufanye utafiti kisha uulize ili upewe mbinu.
Lakini la sivyo unaweza kufanya biashara kwa kufuata mkumbo mwisho wa siku ukadunda
Hahaa,
Mkuu halafu nimeshindwa kuliona hilo jukwaa la wajasiriamali ulilonielekeza!
Sijui utaweza kunielekeza kama hutojali?
Hapo utakuta vurugu zote,kazikwako,kuna vichwa vya ajabu humo vimo kwenye kupambana na maisha.