Ni uzi gani hapa JF unatamba masaa 24?

Ni uzi gani hapa JF unatamba masaa 24?

No Escape

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2016
Posts
6,663
Reaction score
7,785
Nauliza tu jamani, kizuri kula na nduguyo sio mnaburudika pekee enu tu.huko!
 
Hakuna shaka ni uzi wa kupeana likes, ukifuatiwa na uzi wa makapuku.
 
wa mwisho ndo mshindi...Dar es salaam vs Nairobi
[emoji115] True Dar es salaam vs Nairobi ni motoo yani unakuwaga kama movie hivi uzalendo mixer usaliti though mimi sio mchangiaji lakini haipiti siku sijatembelea and wamwisho ndio mshindi huku nipazuri sana unapata marafiki na nimzurisana ukitaka kurefresh..
 
[emoji115] True Dar es salaam vs Nairobi ni motoo yani unakuwaga kama movie hivi uzalendo mixer usaliti though mimi sio mchangiaji lakini haipiti siku sijatembelea and wamwisho ndio mshindi huku nipazuri sana unapata marafiki na nimzurisana ukitaka kurefresh..
kweli aisee
 
Yes, uko sahihi kabisa. Wa mwisho ndio mshindi sijui kwa nini hauishi, halafu wa Dar vs Nairobi kuna watu kama wameweka hisa kule, kila siku kubishaba mambo yale yale.
ule uzi kila nikifungua app naukuta on top
 
Comment upate likes..
Makapuku
Dar vs Nairobi
Wamwisho ndo mshindi
Jf usiku wa manane
 
Back
Top Bottom