Ni vema Katiba mpya ipatikane sasa wakati wa Nuru kuliko kusubiri giza liingie.

Ni vema Katiba mpya ipatikane sasa wakati wa Nuru kuliko kusubiri giza liingie.

Daisam

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2016
Posts
2,625
Reaction score
3,141
Wapendwa, bila shaka kila Mtanzania ana shauku ya kuona Katiba mpya inapatikana sasa.
Nitoe rai kwa wenye mamlaka. Ni muhimu sana kutilia maanani suala la upatikanaji wa Katiba mpya sasa.
 
Wapendwa, bila shaka kila Mtanzania ana shauku ya kuona Katiba mpya inapatikana sasa.
Nitoe rai kwa wenye mamlaka. Ni muhimu sana kutilia maanani suala la upatikanaji wa Katiba mpya sasa.
Naunga mkono hoja
 
Wapendwa, bila shaka kila Mtanzania ana shauku ya kuona Katiba mpya inapatikana sasa.
Nitoe rai kwa wenye mamlaka. Ni muhimu sana kutilia maanani suala la upatikanaji wa Katiba mpya sasa.
Kama ccm hawajajifunza umuhimu wa Katiba Bora wakati wa Magufuli basi sikio hilo ni la kufa tu.

Kumbe wale wanaccm waliokuwa wanamlalamikia Jpm ni kwa kuwa aliwakosesha ulaji.Mbona kwa sasa wao hatuwaoni wakiweka misingi imara ya taifa?
 
Back
Top Bottom