Ni vema Simba washinde derby hii, lakini!

Ni vema Simba washinde derby hii, lakini!

canfi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2022
Posts
1,368
Reaction score
1,477
Kwa maslahi mapana ya utani wa jadi, itapendeza Simba wakishinda.

Kwa miaka mingi, watani hawa wamekuwa na matokeo yanayokaribiana, timu moja haikukubali kuwa mteja kwa awamu tatu kama ilivyo sasa.

Ili kuendeleza utani wa kiwango kilichopo, ni vizuri Simba wapambane washinde ili kuwarejesha mashabiki wao kwenye siasa za utani. Kinyume na hapo, natabiri derby ya kariakoo kuanza kupoteza mvuto. Hata hivyo, naomba niwasihi wanasimba:

Jukwaa hili limekaa muda mrefu bila matusi na kuvunjiana heshima. Ikitokea mmeshinda, msiturejeshe kwenye hali hiyo.

Mmezoea kutukana, kudharau, kuudhi na kuvunjia heshima kila mchangiaji anayetofautiana nanyi. Mkiwa kwenye furaha mjichunge kama wanadamu wenye akili
 
download (5).jpeg
 
Tofauti ya kolo na uto ni matusi, kolo utamjua kwa kutoa lugha ya matusi, nae uto utamjua kwa kumsifia Max Nzengeli!!
Kufungwa sana derby huleta hasira na hivyo kwasasa huwezi kutenganisha kolo na matusi, imeshakuwa jadi yao.
Kesho jadi hiyo itaota mizizi zaidi kwa bao la kibabu Chama! Goli hilo litawauma sana kolowizard!!
 
Kwa maslahi mapana ya utani wa jadi, itapendeza Simba wakishinda.

Kwa miaka mingi, watani hawa wamekuwa na matokeo yanayokaribiana, timu moja haikukubali kuwa mteja kwa awamu tatu kama ilivyo sasa.

Ili kuendeleza utani wa kiwango kilichopo, ni vizuri Simba wapambane washinde ili kuwarejesha mashabiki wao kwenye siasa za utani. Kinyume na hapo, natabiri derby ya kariakoo kuanza kupoteza mvuto. Hata hivyo, naomba niwasihi wanasimba:

Jukwaa hili limekaa muda mrefu bila matusi na kuvunjiana heshima. Ikitokea mmeshinda, msiturejeshe kwenye hali hiyo.

Mmezoea kutukana, kudharau, kuudhi na kuvunjia heshima kila mchangiaji anayetofautiana nanyi. Mkiwa kwenye furaha mjichunge kama wanadamu wenye akili
Akiingia tu kwenye mfumo, tunambamiza
 
Back
Top Bottom