Ni vema tukafahamu maana halisi ya maombi/sala

Ni vema tukafahamu maana halisi ya maombi/sala

gimmy's

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2011
Posts
3,312
Reaction score
3,345
Hii ni mada nzuri kuijadili kwa pamoja japo mimi nitatoa tafsiri yangu.Nimevutwa na hili kutokana na mazingira magumu ya sasa,wapo wengi wanamwomba Mungu lakini mahitaji yao hayatimii,wapo wanaosumbuliwa na mapepo lakini wanapoombewa hawaponi,kwanini?

Ili kuelewa kwa urahisi kabisa hemu chukua mfano huu rahisi wa mtu anaefanya mazoezi yakupiga push up.
Mtu anayepiga push up hamsini kama mazoezi,basi zoezi lenyewe huwenda likawa zile pushup 10 za mwisho kabisa.Hapa namaanisha 40-50 zitakuwa push za taabu na huwenda ile push up ya 50 akaishia nusu kwa uchovu.
Huwezi kusema umefanya mazoezi wakati umepiga pusbup moja.

Sala ni ile hali ya utulivu wa juu kabisa kwa mwanadamu ili kuongea na Mungu wake kwa tafakari ya juu kabisa.Vinginevyo kama mtu ataomba Sala yoyote ile pasipo hilo basi huyo hawezi kupata hitaji lake.

Mungu hatuongei naye kwa sauti bali tafakari ya kina na hapa ndipo kwenye msingi wa imani.
 
Hakuna umuhimu wa sala kwa maisha ambayo mungu keshayapanga.

Kama umepangiwa kwenda motoni hata ukeshe ukisali haisaidii.

Mungu anawajua wake kabla hajawaumba. Predestination. This defeats the whole purpose of praying.

Pia ukifikiria kwamba mungu anajua kila kitu, hata kile unachofikiri, kwa nini usali? Si anajua mawazo yako tayari.

Hizi dini ni tamthilia.
 
Hakuna umuhimu wa sala kwa maisha ambayo mungu keshayapanga.

Kama umepangiwa kwenda motoni hata ukeshe ukisali haisaidii.

Mungu anawajua wake kabla hajawaumba. Predestination. This defeats the whole purpose of praying.

Pia ukifikiria kwamba mungu anajua kila kitu, hata kile unachofikiri, kwa nini usali? Si anajua mawazo yako tayari.

Hizi dini ni tamthilia.
Kwavyovyote kama kwa kinywa chako unakiri Mungu yupo"Mungu anawajua wake hata kabla hajawaumba".Na huyu Mungu umemjua kupitia dini,iweje useme hizi dini ni tamthilia?
 
Kwann wanaombewa hawaponi?
Hatuponi kwasababu ya kukosa utayari wa kuponywa.Mungu haongei na mwanadamu kupitia sauti bali kwa tafakari ya kina yenye utulivu mkubwa.Kama mtu yupo kanisani/msikitini akiimba/akisali/akiswali lakini fikra yake inawaza mchakato wa pesa utategemea uponyaji?
Hata msingi wa imani unaanzia hapa,imani inahitaji tafakari ya kina kabisa na hakuna atakae pona akiwa na ufaham wake pasipo kuwa na imani.
 
Mungu akiahidi kitu akibadiliki ndio maana mambo mengine tunashindwa kuelewa kutokana na akili zetu kua ndogo

Quran

50;29 Mbele yangu haibadilishwi kauli, wala Mimi siwadhulumu waja wangu.


32:13 Na lau tungeli taka tunge mpa kila mtu uwongofu wake. Lakini imekwisha kuwa kauli iliyo toka kwangu : Kwa yakini nitaijaza Jahannamu kwa wote hawa, majini na watu.

 
Hakuna umuhimu wa sala kwa maisha ambayo mungu keshayapanga.

Kama umepangiwa kwenda motoni hata ukeshe ukisali haisaidii.

Mungu anawajua wake kabla hajawaumba. Predestination. This defeats the whole purpose of praying.

Pia ukifikiria kwamba mungu anajua kila kitu, hata kile unachofikiri, kwa nini usali? Si anajua mawazo yako tayari.

Hizi dini ni tamthilia.

"Predestination theory" ni uongo wa shetani! Watu wengi wamenaswa kwenye mtego huo na hakika wataangamia.

1Tim 4:1 - Roho asema waziwazi kwamba katika siku za mwisho baadhi ya watu wataiacha imani na kufuata roho zidanganyazo na mafundisho ya mashetani.

Kama predestination theory ndiyo ina-dictate hatima ya maisha ya mtu, Mungu asingemtuma Yesu duniani (Yohana 3:16).
Mungu akamuuliza Kaini, Je, ukitenda vema hutapata kibali? Mwanzo 4:7
 
Hakuna umuhimu wa sala kwa maisha ambayo mungu keshayapanga.

Kama umepangiwa kwenda motoni hata ukeshe ukisali haisaidii.

Mungu anawajua wake kabla hajawaumba. Predestination. This defeats the whole purpose of praying.

Pia ukifikiria kwamba mungu anajua kila kitu, hata kile unachofikiri, kwa nini usali? Si anajua mawazo yako tayari.

Hizi dini ni tamthilia.
Mkuu unadhani upo sahihi kwa mtazamo wako wewe? ukisema Mungu anawajua walio wake unamaanisha nini? Je utajuaje kama wewe ni wa Mungu ama wa Shetani? Unanithibitishiaje hili???
 
Hakuna umuhimu wa sala kwa maisha ambayo mungu keshayapanga.

Kama umepangiwa kwenda motoni hata ukeshe ukisali haisaidii.

Mungu anawajua wake kabla hajawaumba. Predestination. This defeats the whole purpose of praying.

Pia ukifikiria kwamba mungu anajua kila kitu, hata kile unachofikiri, kwa nini usali? Si anajua mawazo yako tayari.

Hizi dini ni tamthilia.
Halafu dini ni kweli ni tamthilia ila Imani ndio movie yenyewe
 
Prayers gives Order,Blessings and Deliverence

ORDER: a spiritual gift the supernatural ability to carry out the work

BLESSINGS:God's favor and protection.

DELIVERENCE: the action of being rescued or set free.
 
Mkuu unadhani upo sahihi kwa mtazamo wako wewe? ukisema Mungu anawajua walio wake unamaanisha nini? Je utajuaje kama wewe ni wa Mungu ama wa Shetani? Unanithibitishiaje hili???

Mkuu, hata mimi naona maoni yake yana defy logic zote Duniani!!!

Hivi inaingia akilini kwamba Mungu mwenye uwezo wa kuhumba Binadamu/viumbe vyote ahi vinavyo onekana kwa macho na visivyo onekana kwa macho, kahumba vile vile Mbingu na Dunia inawezakana vipi tena Mungu huyo huyo afinyange Binadamu walio wake na Binadamu wa design tofauti kabisa i.e walio kuwa wired kivyao vyao - Mungu atakuwa na sababu zipi za msingi kufanya hivyo??
 
Nafikiri viongozi wa kiroho bado hawajafanya kazi yao kwa kiwango cha kutosha. Lazima mahubiri/mawaidha ya reflect maisha yangu ya kila siku,vinginevyo yanakosa maana.
 
ibada - nitaratibu za kufanya maombi na kusali.

sala - ni haya au insha ambazo tayari zimetengenezwa ambazo wengi wataaimin wakizitamka watekelezwa kile wanachoamini.
mf. sala ya toba, sala ya baba yetu, sala ya bikira mafia, nk.

maombi - haya anafanya binadamu (ikiambata na sala), pengine yanaweza kuwa ktk utaratibu (ibada)
 
Mkuu umesema vizuri sana. Kuna masuala yananitafakarisha sana. Mfano mtu kama Yuda kumsaliti Yesu je si mpango wa Mungu? Yuda alikuwa na fursa ya kuepuka kumsaliti Yesu?

Au ile ya Petro kumkana Yesu kabla ya kuwika Jogoo, Petro alikuwa na fursa ya kuepuka?

Kumbuka hawa wote waliambiwa inadvance watakayo yatenda na bado hawa kufanikiwa kuepuka kuyatenda.

Na washawasha!


"Predestination theory" ni uongo wa shetani! Watu wengi wamenaswa kwenye mtego huo na hakika wataangamia.

1Tim 4:1 - Roho asema waziwazi kwamba katika siku za mwisho baadhi ya watu wataiacha imani na kufuata roho zidanganyazo na mafundisho ya mashetani.

Kama predestination theory ndiyo ina-dictate hatima ya maisha ya mtu, Mungu asingemtuma Yesu duniani (Yohana 3:16).
Mungu akamuuliza Kaini, Je, ukitenda vema hutapata kibali? Mwanzo 4:7
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]

Hakuna umuhimu wa sala kwa maisha ambayo mungu keshayapanga.

Kama umepangiwa kwenda motoni hata ukeshe ukisali haisaidii.

Mungu anawajua wake kabla hajawaumba. Predestination. This defeats the whole purpose of praying.

Pia ukifikiria kwamba mungu anajua kila kitu, hata kile unachofikiri, kwa nini usali? Si anajua mawazo yako tayari.

Hizi dini ni tamthilia.
 
Back
Top Bottom