Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kabla ya Wakoloni hawajaanza kutawala Africa baada ya mkutano wa Berlin wa 1884/1885 Africa ilikuwa haijawahi kuwa na hospital, shule, reli, barabara, mfumo wa sheria, mahakama na umeme. Hivi vitu vilianza kuwepo Africa baada ya Wakoloni kuja.
Hata hivyo historia ya ukoloni inayozungumzwa inaonekana ulikuwa mbaya tu na ambao hawakuwa na faida yoyote Africa.
Hata hivyo historia ya ukoloni inayozungumzwa inaonekana ulikuwa mbaya tu na ambao hawakuwa na faida yoyote Africa.