Ni vidonda vya tumbo au juju?

Ni vidonda vya tumbo au juju?

baba bora

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2016
Posts
1,500
Reaction score
1,093
Salaam
Wandugu tatizo langu Ni Hili tumbo kunyonga ni kila chakula kilicho pikwa kwa mafuta kama wali Mboga zilizo ungwa....

Wataalamu tatizo Nini Hapo
Tiba yake Nini?

Asante
 
Ningekushaur uachane na vyakula hivyo kama vinakuumiza...Mpk utakapofika hospital kwa uchunguzi zaid
 
Salaam
Wandugu tatizo langu Ni Hili tumbo kunyonga ni kila chakula kilicho pikwa kwa mafuta kama wali Mboga zilizo ungwa....

Wataalamu tatizo Nini Hapo
Tiba yake Nini?

Asante
Pole sana mkuu. ila cha kukushauri jaribu kwenda kupima upate uhakika zaidi ya ni kitu gani hasa kinachokusumbua . ningependa kukuuliza swali, hakuna dalili zingine zaidi ya tumbo kuuma ukila chakula chenye mafuta? Mfano mkojo kuwa wanjano pia na mucous membrane kuwa za njano. Vipi labda tumbo lina uma upande gani vile?
 
Pole sana mkuu. ila cha kukushauri jaribu kwenda kupima upate uhakika zaidi ya ni kitu gani hasa kinachokusumbua . ningependa kukuuliza swali, hakuna dalili zingine zaidi ya tumbo kuuma ukila chakula chenye mafuta? Mfano mkojo kuwa wanjano pia na mucous membrane kuwa za njano. Vipi labda tumbo lina uma upande gani vile?
Asante Mkuu nimeenda hospital Leo nimepima Nina helicobactor pyrori postive
 
Back
Top Bottom