Tangu 2016 hadi 2021 nimesikia Spika analaumiwa na yeye akiwa ndani ya Bunge analalamika hata akialikwa kwenye tukio kama mgeni Rasmi analalamika hadi anaongea nje ya mada ya tukio husika.
Vigezo vya kuwa Spika ni dhaifu au mfumo mbovu wakumpata Spika?
Vigezo vya kuwa Spika ni dhaifu au mfumo mbovu wakumpata Spika?