NJOGHOMILE
JF-Expert Member
- Jun 11, 2017
- 694
- 1,942
Nimezoea kuona watu kwenye field ya Academia wakiwa wanapata promotion ya kutoka Udokta na kuwa Associate Professor ambapo baadae atakuwa Full Professor.
Vigezo ambavyo nimezoea kuviona vikizingatiwa katika hizo promotion ni Teaching Points, Publication kwenye peer review journals na Book Chapter. Pia mamlaka zinazohusika kupromote huwa ni hizo hizo Academia anapopractise huyo mtu.
Je, kwa mtu ambaye yupo nje ya Academia, ni vigezo gani huwa vinazingatiwa ili mtu kuwa promoted kutoka Dokta na kuwa Associate Professor /Full Professor. Pia ni mamlaka zipi zinahusika katika hizo promotion za watu walio nje ya Academia.
Mfano aliyekuwa Katibu Mtendaji wa NECTA kuanzia enzi za awamu ya 5 alikuwa ni Dokta ila sasa ni Professor. Huwa najiuliza kila mara nashindwa kupata jibu.
Nina imani hapa nitapata majibu kuhusu hili jambo
Vigezo ambavyo nimezoea kuviona vikizingatiwa katika hizo promotion ni Teaching Points, Publication kwenye peer review journals na Book Chapter. Pia mamlaka zinazohusika kupromote huwa ni hizo hizo Academia anapopractise huyo mtu.
Je, kwa mtu ambaye yupo nje ya Academia, ni vigezo gani huwa vinazingatiwa ili mtu kuwa promoted kutoka Dokta na kuwa Associate Professor /Full Professor. Pia ni mamlaka zipi zinahusika katika hizo promotion za watu walio nje ya Academia.
Mfano aliyekuwa Katibu Mtendaji wa NECTA kuanzia enzi za awamu ya 5 alikuwa ni Dokta ila sasa ni Professor. Huwa najiuliza kila mara nashindwa kupata jibu.
Nina imani hapa nitapata majibu kuhusu hili jambo